Umeshawahi kuletewa nyodo na mhudumu wa kike?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahaaa!dahh!yaani usidharau usiemjua!!!
 
What a perfect movie...!!!hahaha
 
Upo sahihi mkuu. Majirani zetu wakenya wametuzidi kwenye customer care.. Hii kitu hata marehemu Sitta akiwa waziri wa wizara ya afrika mashariki aliwasifu wakenya bungeni.
 
Vihudumu vya bank hasa visichana vinakuaga na dharau sana. Mimi sehemu ninayokua mpole ni hospital na polisi tena kama ninayemfahamu hayupo. Sehemu nyingine moto nauwasha saa yoyote
Vipi wanavyowahudumia nyie wanawake wenzao? Nadhani bora ya sisi wanaume
 
Bora wanaume jamani wengii wana customer care nzuri. hata kwenye restaurants nyingi visichana vidomo juu juu. Mimi sipendi dharau ukiangalia vijicent vyangu vinahusika kwenye kukulipa mshahara
Ata wamama nao ni tatizo
 
Daah nakumbuka mkonge hotel nilikua na appointment na don flan sasa kufika nikaagiza soda sa sijui wale ma maid waliona mm mchovu ukizingatia ulikua msimu wa uefa wakajua navizia mpira
Tu.. basi nikamuita muhudum ili nimuulize issue za pale kama kuna live band we aliniangalia kwa nyodo nikamuiliza vp mbona unaniangalia kwa dharau akasema we sema unashida gani nikamwambia bas nenda..akaondoka kwa dharau.. kodgo yule don akaingia alikua mshkaj wa marehem mshua wangu so ali ni treat kama mtoto wake na alikuja nipa dili zito..alipo ingia akawaambia wale maid nyie mmemsikiliza huyu bosi huku akianza kutaja tittle yangu kisha jina..wakajiuliza huyu dogo nani mpk doni anamuita bosi..?nikaambiwa agiza menu nikaagiza menu ya maana baada ya maongezi mzee akasepa akaniachia kama 200k za kazi aliyo nituma.. baada ya mzee kuondoka Ndo nikaanza kuona mhaho wa hao ma maid nikawaona [emoji90][emoji90] nikaagiza maji makubwa nikanywa nusu glas nikaacha na kusepa..thats why kwenye kazi zangu huwa sibagui naelewa ubaya wa kubagua usie mjua..nishamsadia mtu wa kawaida sana wkt anaondoka akasema kaka anataka akushukuru alivyo nipa simu kuongea na kaka yake hahahaha nikasema dharau hazifai maana alikua mzee wa jengo jeupe na ni mkubwa tu..the rest ikabaki story…USIDHARAU WATU ENEO LA KAZI YAKO
 
Huyo alikuwa hakudharau.. alikuelewa akajikuta ana play hard to get.
Hao design hiyo ukiwauliza kitu anakujibu akiwa overconfidence unaweza hisi ni dharau.. kumbe sio..
Dem akisha kudharau kuna kazi kubwa sana kugain respect na kumattract tena
 
Nilipiga simu nmb nilikuwa na shida fulani kuhusu AC yangu , kapokea customer care Representative ni mwanaume, kila swali nililokuwa namuuliza jamaa ananijibu shortcuts tu yale majibu ambayo mtu anaona "unampotezea muda".. kabla hajakata simu nilimuwashia moto sana nilichukia..

Kesho yake nikapigiwa simu na boss wake na kuniomba radhi -- sasa sijui yeye huko alikuwa kwenye hali gani!
 
ndio ccbrt hospital ness pale kwenye kupata risiti baada ya malipo ukamuone dr hataki umuulize mara mbili hata kama hujasikia na ubaya kavaa barakoa sauti haitoki wanaudhi sana 3/9/21
Ccbrt hawana nyodo boss tena kuna vipaza sauti kabisa kazi yako ni kusikiliza tu.
 
Huyo alikuwa hakudharau.. alikuelewa akajikuta ana play hard to get.
Hao design hiyo ukiwauliza kitu anakujibu akiwa overconfidence unaweza hisi ni dharau.. kumbe sio..
Dem akisha kudharau kuna kazi kubwa sana kugain respect na kumattract tena
"play hard to get" inaingiaje hapo mkuu 6Was9 wakati jamaa Fmruma amekwenda kama mteja tu ila mhudumu akamuona mshikaji kama mlalahoi tu?
 
Likizo moja,baada yakutoka farm kusimamia uvunaji mpunga wa mzee,nilienda duka la vipodozi kununua mafuta ya kupaka,ambayo huwa nayatumia.
Nilimkuta jamaa(muuzaji)akiwa na demu wake.
Mimi:Ebwana vipi?mafuta fulani unayo hapa?
Yeye: Duh kaka utayaweza bei yake?
Mimi: Yapo?
Yeye: Ndiyo,ila bei yake sioni kama utaiweza.
Mimi: Ni tsh ngapi?
Yeye: Ni tsh elfu............
(Wakati huo demu anautazama mchezo)
Mimi:Hiyo ndiyo hela kubwa?ambayo siwezi kuilipa?
Nikamwonesha pesa nilizokuwa nazo,around 2m tu+working ID,nikatoa kiasi hitajika nikalipa.
Then,nikamgeukia demu wake.
Mimi:Sister,mambo?
Demu: Poa,za kwako?
Mimi: Poa,huyu ni boyfriend wako?
Demu:Mmh(huku anaona aibu)
Mimi:Mbona umekubali kuwa na boy masikini kiasi hiki?
Hivi anauwezo wa kukuhudumia kweli huyu,ambaye kiasi kdg tu cha pesa ya mafuta anaona ni kikubwa,hadi anadharau watu?
Demu: (Kimya)
Jamaa: (Kijasho chembamba+kupanic)
Baada ya hapo nikasepa.
 
Bora wanaume jamani wengii wana customer care nzuri. hata kwenye restaurants nyingi visichana vidomo juu juu. Mimi sipendi dharau ukiangalia vijicent vyangu vinahusika kwenye kukulipa mshahara
wengi ni kama hawatambui pesa ya mteja ndio chanzo pia cha mshahara wao.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Huyu Bar maid alikua sahihi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…