Umeshawahi kulipigania penzi lisivunjike lakini mwisho wa siku ukakubali kushidwa

Kanuni yangu tangu zamani ni kutojishusha, naitwa kiburi ila ndo hata sijali, Kuna aliyefanikiwa kunitikisa ila baada ya mwezi nilimsahau totally nashukuru kwa somo nililopata huko nyuma kwani ndio limefanya nimuwin mume wangu(dhahabu yangu),,,
 
Kanuni yangu tangu zamani ni kutojishusha, naitwa kiburi ila ndo hata sijali, Kuna aliyefanikiwa kunitikisa ila baada ya mwezi nilimsahau totally nashukuru kwa somo nililopata huko nyuma kwani ndio limefanya nimuwin mume wangu(dhahabu yangu),,,
Hapo umemuwin ndo kwamba unamuendesha
 
baby please Kuna hela naiskilizia akajibu "nmeshachoka niache"



Yapata miez mitatu sasa,nlikutana nae juz Niko na Dem wangu maisha yamemgegeda anafanya kaz salon ya kike.nikamuamuru amsuke Dem wangu (in Jesus voice)
 
Ukafanye nn sasa
 
baby please Kuna hela naiskilizia akajibu "nmeshachoka niache"



Yapata miez mitatu sasa,nlikutana nae juz Niko na Dem wangu maisha yamemgegeda anafanya kaz salon ya kike.nikamuamuru amsuke Dem wangu (in Jesus voice)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…