Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Kanuni yangu tangu zamani ni kutojishusha, naitwa kiburi ila ndo hata sijali, Kuna aliyefanikiwa kunitikisa ila baada ya mwezi nilimsahau totally nashukuru kwa somo nililopata huko nyuma kwani ndio limefanya nimuwin mume wangu(dhahabu yangu),,,