Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Kwenye mapango ya wazee au Shuleni kizwite ? Kantalamba, inshallah ntafika , Enzi za Air Shengena na Sumri daah haya maisha ni nyokoMungu akujalie ufike Rukwa kuna kitu cha kipekee utakiona.
Yeah Mpui,Kihanda,Miangalua,Laela&Luiche😃Kwenye mapango ya wazee au Shuleni kizwite ? Kantalamba, inshallah ntafika , Enzi za Air Shengena na Sumri daah haya maisha ni nyoko
nilipapenda sana siku nikiwa vizuri kifedha ntarudi tu kuishiKuzuri au?
Ukiishi kigoma nina hakika utafuta hiyo kauliMbeya Vumbi jingi mno.....
Bora ya songea naona hakuna vumbi,Mbinga kuna vumbi sana,Na kweli utavumilia.....
So kuna maeneo yana Vumbi kuliko mbeya? Maybe Songea.
Mie sipendi Vumbi,pahala popote penye Vumbi siwezi Tumia sekunde hata moja isiyo yalazima.
Umezunguka songea vijijini?songea kuna vumbi balaa na shida ya barabara kipindi cha mvua ni hatare.ingia ndani uko matepwende,mtakanini au mageuzi uko uone rhumba!Bora ya songea naona hakuna vumbi,Mbinga kuna vumbi sana,
Mwenyewe sipendi vumbi lkn basi tu.
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Fisi lenyewe ni mnyama hayawani taira.Ni kweli mkuu. Sema miaka ya hivi karibuni kuna cases za watu hasa watoto kuliwa wilayani Karatu na fisi. Wenyeji wamekuwa wakiitupia lawama idara ya wanyamapori kuwachukua fisi Ngorongoro na kuwahamishia vijiji vya jirani huko Karatu kwa kile kinachotajwa kwamba fisi Ngorongoro wamekuwa wengi sana kiasi kwamba inahatarisha viumbe wengine kupotea. Hawa fisi wanaopelekwa vijijini hukutana na uhaba wa msosi hali inayopelekea kutafuna watu. Hata hao fisi wa Shinyanga wengi wao sio uchawi ni ukosefu wa chakula. Fisi ni mnyama hatari mno akili zikimruka. Kuna fisi alivamia sehemu nikaonyeshwa sufuria aliyoikatakata kwa meno.. imagine akikutana na mtoto atamfanyaje?
Nitazunguka pote, ila kwangu Dar ndio the best.View attachment 2705519
Je umewahi kusafiri mikoa mingap Tanzania na ipi uliipenda zaidi na ipi uliichukia zaidi?
Sijafika vijijiniUmezunguka songea vijijini?songea kuna vumbi balaa na shida ya barabara kipindi cha mvua ni hatare.ingia ndani uko matepwende,mtakanini au mageuzi uko uone rhumba!
Wewe ulisafiri na bus Toka musoma Hadi Dar.Dar es salaam
Simiyu
Geita
Shinyanga
Mara
Mwanza
Dodoma
Pwani
Morogoro
Wanyama wote ni mahayawani.Fisi lenyewe ni mnyama hayawani taira.
Bora ukae nakapanya kuliko namanyereMbona pako fresh?
Bas humo vijijini miundombinu ni kisanga,nimezunguka allmost Tanzania nzima tena ndani ndani kbs lkn ktk mikoa yote mkoa ambao mpk vijijini miundombinu km umeme,maji na barabara iko vyedi ni Kilimanjaro!
Zanzibar mkoa [emoji849] Zanzibar Ina mikoa 5 mitatu unguja miwili pembaWalahi, sijafika mkoa wa Mtwara na Mkoa wa Zanzibar tu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji848] Ninaipenda Tanganyika yangu na sijawahi kuchukia mkoa wowote ule. Sasa, kwaavile haujauliza sababu zipi za kupenda au kuchukia, mikoa hiyo basi kwa hiari kabisa, nitaongezea la ziada; nilikutana na wanawake wazuri kila mkoa na mkoa mmoja wapo, ndipo nilipompata Cheusi dawa wangu[emoji847][emoji7][emoji3059]
Haswaa huko ndo nyumbani kaeWapi MakunduChi?