Umewahi kukutana ana kwa ana na mnyama gani mkali?

Wakati tupo jkt makuyuni Ile kambi ipo mbuga ya wanyama , tulikua tumedoji fatiki 🤣 🤣 🤣 tumeenda kisima cha chini kwa laiboni (wamasai) tukakutana na nyati live Yesu wangu . Hata sikumbuki tulifikaje kambini
 
Alipita tembo shambani kwetu aisee na huyo alikuwa mtoto that giant ni hatarii anavunja kahawa kama mwanadamu anavyovynja stick za kuchokonolea meno. wanyama wa mwituni ni wakubwa sana.
 
BINADAMU.
 
Siku nakatiza misitu ya Mabwe Pande nikakutana na Mamba wawili wanatiana. Kuniona wakashtuka. Wakaanza nikimbiza. Nilikimbia sana nikapanda juu ya mti mrefu yule dume naye akawa anapanda anile. Nikamtemea mate usoni halafu nikamtoboa jicho moja na kijiti ndo kurudi chini.
 
Hayo majina ya huko unapoishi yanaonesha ni maporini Sasa unashangaa nini,we ndiyo umevamia maeneo ya wanyama pori.Angalia tu usiingie kwenye 18 zao.
 
kwamba alitaka akule😂😂.

lakini mamba wa mabwepande jau sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…