Umewahi kula/kuliwa mtu wa rafiki yako wa karibu sana, tupe uzoefu

Wabongo kila kitu wanataka mashindano hata ungeadisia matatizo yako angetokea mtu kusema hujampita
Ndio nimeishia kumshangaa mwamba, watu tuna share visa katika mazingira ya kujiburudisha, kujifunza etc, ye anataka mashindano..

Wakati nakaribia kuacha uhunj, nikajipa kauli "hakuna sifa, tuzo wala cheo cha MTOM..BAJI sana" so kwangu si vitu vya kujisifia hivi,

Hawa ndio wabongo 😂🤣
 

Maharage ya Mbeya kwenye moja na mbili [emoji81]
 

Sisy demi hi [emoji112]
 
Hello...
Mambo yako?
Mimi mke wa mtu sili hata ajilengeshe vipi,silii.
Kuna shida nyingi kwenye ulimwengu wa roho, tena zaidi mumewe akihisi na kuanza kulalamika aisee.
Pia kuna kubeba maroho yao,kuna magonjwa,watu wengi wanahisi wanandoa wako safe hahaha.
Though nikiwa chuo nilishapita kimasihara na dem wa rafiki,tulikua mitungi alafu mshikaji akamsusa manzi ake club akasepa na ka 1st yr,duh saa ya kutoka hatumwoni ikabidi shem akalale kwangu,ndo ikawa kamchezo chetu hadi tunamaliza chuo.But am sorry this will never happen again.
 
Mimi napenda maisha ambayo nature ime balance, yaani lawama chache baraka nyingi au baraka na laana zina tally.

Kuna demu naposema demu ni demu kweli yaani demu kweli, nilikutana naye katika mazingira ya shangwe, na alikua ananipa kwenye gari, roho ikasita nilikua na safari asubuhi nikaona nitajiletea nuksi, nikapanga nae mipango ovu siku nyingine, sasa katika kuongea nae, nikaja ku-gundua nilipitaga na dada yake.

Nikamuambia, alishangaa sana, kwa jinsi dada yake alivyo mzuri na mnoko, yaani ni wale mademu ambao wanavaa masketi marefu na manguo ya ajabu ajabu kuficha uzuri wao, na muda wote yuko ndani anasoma novels, nilikutana nae kwenye party akatambulishwa na watu, tuka click, tukapeana utamu, nikamuambia matabia yangu mabaya ya kushinda kwenye bar, akanimwaga

Demu alipomuuliza dada yake, alinipigia simu akanishukuru, akaja gheto akanipa penzi, maisha yakaendelea, ikawa jioni, ikawa asubuhi, ikawa siku nyingine lonely and horny
 
Vizuri sana. Mke wa mtu sumu..kaa mbali nae.
 
Hakukuwa na sababu maalum ilitokea tu.
Ingawa kabla hajawa na huyu best yangu mimi nilikuwa namzimia sana jamaa nikamwambia best. Bahati mbaya jamaa alichelewa kunifata so mimi nikamoveon na mtu mwingine. Baadae shetani akatupitia😅
Mapenzi ya hivi yanakuaga matam kweli, nimeexpirience mara mbili kua na mahusino na rafiki wa manzi yangu.
 
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma kulikuwa na msichana mmoja hv n alikuwa anaishi nyumba moja na mwanangu sema vyumba tofauti. Si unajua mambo ya kupanga

Yule msichana alikuwa mzur tena mzuri wa asili, rangi yake ni nyeusi ya kung’aa lips nzur, shepu flani hvii sio kubwa wala ndogo. dah itoshe kusema alikuwa mzuri sanaa, Yule msichana alikuwa anakaa na rafiki yake. Huyo rafiki yake alikuwa n wakaida tuu

First day namuona yule msichana nilimtaman kinoma asee nikamuulza mchizi wangu akanambia kuwa n mtu wake basi mzee nikavunga..
Maisha yakaendelea nikamzoea kama shemej. tukawa tunamazoea kama mtu na shemej yake si unajua mwana ndio anakamatia mzgo

Sas si unajua wanaume huwaga haturidhiki hatatupewe nini mwanangu akaanza kutoka na best wa yule demu. Tena best wenyew n wakawaida tuu.. Na kama unavyojua penzi huwaga alifichiki ile pisi ikajua kuwa inasalitiwa na muhuni..
Ikaanza nishtakia kuwa mwanangu anamsaliti tena mbaya zaid na rafik yake

Basi bhn nikaanza chukua majukum ya kumfariji kama shemej… Sas bhn nakumbuka hyo siku amekuja gheto kunishtakia kuwa anahisi mwanangu ametoka na yule rafik yake waneenda huko mbali.. akaanza kulia lia pale si unajua hv vi last born😂😂

Bwanaaa weeeh katika harakat za kumfariji shemej si nikamkumbatia ili nimtoe na majonzi .. huku nampapasa mgongoni kujifanya wazungu kumbe sina uzungu wowte mm😂😂 … Mara ukaingia ukmya tukawa tunasikilizia mapgo yetu ya moyo. Ile anajitoa kifuani tukawa tunashangaana wote tupo kmya


Sijui nn kiliendelea ila alitoka gheto kesho yake asubuh na ndiyo ukawa mwanzo wa penzi letuu….Nikajakumwambia mwana tukayamaliza mm nikawa ndy baba mjengo wa yule binti…
Sas hv ameshaolewa yuko na kibaba dullah flani hv chenye kitambi watu wa serikalini….

Alishawai nichek nikamtoe upwiru siku chache kabla ya ndoa yake nikakataa si unajua tena MKE WA MTU SUMU
still tunawasiliana ila n kama marafiki tuuu….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…