Wewe ndio Madame πΉHahahahahah...... jamaniiii
Mie tenaπππ
πππππWewe ndio Madame πΉ
Nikiwa kama katibu wa Kataa ndoa, hii dhambi imeni kosaTubia hii dhambi maana utailipia.
Hata kwenye jua yanaiva ππ€£Maharage ya Mbeya kwenye moja na mbili [emoji81]
Upo sahihi.Huwezi toka nae sababu ya commitment ya kifamilia ulionayo kwa sasa na sio kwamba humpendi, nipo sahihi?
Uongo bana mzee menzanguHata kwenye jua yanaiva ππ€£
Sio lazima iwe hivyo....Wanawake nauwty nauty wanakuwa watamu...kama umeweza kumzunguka beaty yako na kumuibia de liboloz basi kitandani una maujanja mingi
Kabisa mzee mwenzangu, we jaribu uone. ππ€£Uongo bana mzee menzangu
Ndio hivyo wewe...yahitaji ujasiri kumpindua bff wako na ukaendelea kuenjoy deliboloz la kidume kimoja.Sio lazima iwe hivyo....
Yaishe basiπNdio hivyo wewe...yahitaji ujasiri kumpindua bff wako na ukaendelea kuenjoy deliboloz la kidume kimoja.
Dah kwa hiyo jamaa alikuwa anapiga huku alafu anapiga kuleπ€£π€£π€£π€£
Mbususu hizi jamani
Basi nimeamini upendo huwa haufi.Upo sahihi.
Mazingira yakiruhusu na nafsi ikaridhia why not?
Hatukuwahi kugombanaBasi nimeamini upendo huwa haufi.
Unaamini ugomvi ungefifisha upendo sio?Hatukuwahi kugombana
Ni kweli. Huu ni uzi wa kipumbavu kabisa. Vijana wanawaza ngono tu.Such a shit head you're
View attachment 3034222
Yes..inategemea aina ya ugomvi. Lakini pia...sasa hivi sio kama nampenda, sina hisia nae zozote.Unaamini ugomvi ungefifisha upendo sio?
Aya nawewe hadithia,uliliwa ndogo kwenye mazingira gani??ππ
Mzee makoti hujiheshimu...Aya nawewe hadithia,uliliwa ndogo kwenye mazingira gani??