Umewahi kupata maumivu kutoka kwa mtu uliyewekeza muda, upendo na imani yako kwake?

Umewahi kupata maumivu kutoka kwa mtu uliyewekeza muda, upendo na imani yako kwake?

Ghost MVP

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2022
Posts
439
Reaction score
736
Kuna watu wengi ambao wanapitia maumivu ya namna hiyo, hii ni kwasababu unajikuta umewekeza sana kwa mtu huyo, endapo ikatokea akakuumiza basi maumivu yanapita ndani kabisa, wengi hawawezi vumilia hili na kujikuta wanafanya jambo la ajabu.

Je, umewahi kupitia maumivu haya? Toka kwa nani? Sababu ilikuwa nini na ulifanya uamuzi gani?

portrait-sensitive-man.jpg
 
Haya mambo ya mahusiano muhimu watu wakae na wenzao kwa machale, wekeza kwa yule anayeonekana akili yake imetulia kwako, usiwekeze kwa mtu mwenye mapepe ambaye anaonesha dalilu zote safari yenu haitabiriki huko mbele.

Hata kama mwanamke/mume ataonekana kuwa pamoja nawe mwanzo, endelea kuwekeza kwake huku unamchunguza, na wala usiogope kumuwekea mutihani ya majaribio ili kupima uthabiti wa mapenzi yake kwako, mpe mitihani mpaka utapojiridhisha yuko sawa huku ukiwekeza kiasi.

Usiwekeze kingi kama vile umeshamuoa, au ameshakuzalia, wekeza kwa akili ukiendelea kumtazama lakini asijue, ili asijue siku nyingine akitaka kitu kama pesa mwambie sina hata kama ipo, ili uione reaction yake kwako, akiwa na tabia ya kuropoka kila mara huyo muache hafai.

Pale utapoona hatabiriki, anza kutafuta chimbo lingine la kuhamia pindi utakapoachana nae, huku ukiendelea kumsindikiza kuisubiri hiyo siku atakayoropoka ukimnyima kitu ndio umbwage rasmi, hapo hutakuwa na lawama.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya mahusiano muhimu watu wakae na wenzao kwa machale, wekeza kwa yule anayeonekana akili yake imetulia kwako, usiwekeze kwa mtu mwenye mapepe ambaye anaonesha dalilu zote safari yenu haitabiriki huko mbele.

Hata kama mwanamke/mume ataonekana kuwa pamoja nawe mwanzo, endelea kuwekeza kwake huku unamchunguza, na wala usiogope kumuwekea mutihani ya majaribio ili kupima uthabiti wa mapenzi yake kwako, mpe mitihani mpaka utapojiridhisha yuko sawa huku ukiwekeza kiasi.
Umeongea vema ndugu
 
Kuna watu wengi ambao wanapitia maumivu ya namna hiyo, hii ni kwasababu unajikuta umewekeza sana kwa mtu huyo, endapo ikatokea akakuumiza basi maumivu yanapita ndani kabisa, wengi hawawezi vumilia hili na kujikuta wanafanya jambo la ajabu.

Je, umewahi kupitia maumivu haya? Toka kwa nani? Sababu ilikuwa nini na ulifanya uamuzi gani?

View attachment 2833044
Hii ni tabia ya kusisitiza maumivu yako wakati ulijitakia mwenyewe ni tabia mbaya kabisa.

Unawekezaje kwa mtu anayeweza kukuumiza? Hujamchunguza kabla ya kujipendekeza kwake?

Unaachiaje mtu mwingine akuumize?

Huoni kwamba hii tabia ya kuacha mtu mwingine aweze kukuumiza na kulialia ni tabia ya kibinafsi sana?

Huoni kwamba, kwa mfano, mtu asipokutaka ana uhuru wa kuendelea na maisha yake, na wewe kudai anakuumiza ni kumlazimisha aendelee kuwa nawe kwa nguvu?

Huoni kuwa hizi habari za kusisitiza sana maumivu yako bila kuangalia wengine wanataka nini ni emotional blackmail?

Muachie mwenzio aende, tafuta mwingine.

Mtu baki kuweza kukuumiza ni kosa lako, umemuachiaje aweze kukuumiza?
 
Wengi wengi wetu hua tunavipuuzia vitu vidogo vidogo (red flags) wakati tunaanza mahusiano kwa kufubazwa na penzi. Tunashindwa kufanya maamuzi yatakayo athiri maisha yetu in a long run.

Tunakua tumepoteza muda, rasilimali, hisia na tumepoteza watu ambao kwa namna moja au nyingine wangekua na msaada kwetu.

Ni ngumu sana kumshauri mtu na namna pekee ni mtu mwenyewe kuyapitia (learning from exprience).
 
Haya mambo ya mahusiano muhimu watu wakae na wenzao kwa machale, wekeza kwa yule anayeonekana akili yake imetulia kwako, usiwekeze kwa mtu mwenye mapepe ambaye anaonesha dalilu zote safari yenu haitabiriki huko mbele.

Hata kama mwanamke/mume ataonekana kuwa pamoja nawe mwanzo, endelea kuwekeza kwake huku unamchunguza, na wala usiogope kumuwekea mutihani ya majaribio ili kupima uthabiti wa mapenzi yake kwako, mpe mitihani mpaka utapojiridhisha yuko sawa huku ukiwekeza kiasi.

Usiwekeze kingi kama vile umeshamuoa, au ameshakuzalia, wekeza kwa akili ukiendelea kumtazama lakini asijue, ili asijue siku nyingine akitaka kitu kama pesa mwambie sina hata kama ipo, ili uione reaction yake kwako, akiwa na tabia ya kuropoka kila mara huyo muache hafai.

Pale utapoona hatabiriki, anza kutafuta chimbo lingine la kuhamia pindi utakapoachana nae, huku ukiendelea kumsindikiza kuisubiri hiyo siku atakayoropoka ukimnyima kitu ndio umbwage rasmi, hapo hutakuwa na lawama.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Umeeleza kiutu uzima sana na hapo mwisho ndiyo namna bora ya kumwacha mwanamke ambae anapwaya.. unategea akijilengesha unazima data shwaaaa na kusonga mbele na chimbo jipya
 
Hii ni tabia ya kusisitiza maumivu yako wakati ulijitakia mwenyewe ni tabia mbaya kabisa.

Unawekezaje kwa mtu anayeweza kukuumiza? Hujamchunguza kabla ya kujipendekeza kwake?

Unaachiaje mtu mwingine akuumize?

Huoni kwamba hii tabia ya kuacha mtu mwingine aweze kukuumiza na kulialia ni tabia ya kibinafsi sana?

Huoni kwamba, kwa mfano, mtu asipokutaka ana uhuru wa kuendelea na maisha yake, na wewe kudai anakuumiza ni kumlazimisha aendelee kuwa nawe kwa nguvu?

Huoni kuwa hizi habari za kusisitiza sana maumivu yako bila kuangalia wengine wanataka nini ni emotional blackmail?

Muachie mwenzio aende, tafuta mwingine.

Mtu baki kuweza kukuumiza ni kosa lako, umemuachiaje aweze kukuumiza?
Anaweza akawa ndugu, Jirani, rafiki au mpenzi unasemaje katika hilo
 
Nilipata maumivu lakini furaha ya Nafsi yangu inathamani kuliko yeye kuliko mwanamke yeyote labda mamaangu tu.
kwa sasa siumii tena
Nakubali sana, Cha msingi ni kuyakubali maumivu na kumove on
 
Back
Top Bottom