Umewahi kupata maumivu kutoka kwa mtu uliyewekeza muda, upendo na imani yako kwake?

Kama Betting
 
Kinachowaumiza vijana ni kudanganywa na sio chengine Mkuu.
 
Mahusiano hamna.

Niliowakopesha pesa tu ndio bladifakeni.
 
Hapa umeongelea wale ambao ni marafiki tu hawana familia,ila kwa waliokwisha kuwa na familia( mtoto/watoto) ni ngumu mno
 
Umeongea vyema sana,kupuuzia hizi red flags ndo kumetuumiza tulio wengi,mfano unaona kabisa mtu ni muongo,unapuuza,msaliti unapuuza,mbinafsi unapuuza kwa kujipa moyo labda ataach,kumbe ndio asili yake,mwisho wa siku mambo yanaharibika
 
Hapa umeongelea wale ambao ni marafiki tu hawana familia,ila kwa waliokwisha kuwa na familia( mtoto/watoto) ni ngumu mno
Hapo ndipo kuna umuhimu wa kumchunguza vizuri mtu utakayekuja kujenga familia naye na kuwa na watoto.

Pia, watu wametalikiana kwa maelfu ya miaka.

Vinginevyo, kama unathamini sana uhuru wako na unaogopa sana kuumizwa, kukataa ndoa nayo ni option.

Sio kila ukiona mwanamke mwenye matako makubwa tu unatangaza ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…