Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

Mi sijawahi kupigwa tukio ila niliwapiga tukio mbwa wawili.

Mmoja ni mhaya sjui mnyarwanda shingo kama shock absober ulijitia mjanja ulidhani utantumia eeh mxiew ndo maana nlikupiga matukio na kalenda juu mbwiga wee😂 na nikakuacha peupe mfyuu yani ukose vishimo vyote uje ujaribu cha kwangu. Ni miaka kumi imepita ila najiona mjanja bado nilikuweza hamna utelezi wa bure punda we na najua utapita kusoma hapa sikupendi hata kwa kidonge

Wa pili ni mbuzi ya malawi kichwa kama tunda la ubuyu, bora nlikunyima utelezi jina lako linaanzia na A kokote ulipo tumbo likusokote haliwi boya kijinga jinga. Na hirizi yako ile.

Mijanaume inayojitiaga mijanja ndo naipenda nakuchapa tukio unajivua cheo mwenyewe. Af mkinyimwaga utelezi mnakuaga kama ng’ombe alieona mjamzito😂😂😂 ah kukua raha sana saizi nikiwakumbuka nawacheka
 
Vipo mkuu, huoni siku hizi tunawapiga matukio kweli kweli, angalia mke wa manara, mke wa dr. Mwaka wote wajumbe meza kuu wale. Tumesanuka sasa hivi.
Hata siwaonei huruma wachapwe hadi wachanganyikiwe. Na bado
 
We n nouma
 

Sasa ndo umeandika nn?
 
Kwa nilivyosoma stori zako hapo juu haiwezekani wewe ukawa mwanamme wa Dar, hongera sana👏👏👏
 
Acha kabisa mkuu
 
Yule mpuuzi aliniomba nauli ya goo endi ritani eti anaenda Dar kwenye Send-off ya mtoto wa shangazi yake, nikampa shilingi laki mbili , mbwa yule kumbe ni yeye ndio alikuwa anaenda kuolewa
Kuna wanawake hawana mshipa wa aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…