Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

Ungebadilisha kichwa cha habari na kuandika "MAMBO GANI YA KIPUMBAVU ULIYOWAHI FANYA KWENYE MAPENZI?"... hakuna tukio ulilopigwa kwenye stori yako bali ni upumbavu mwingi ulikuwa unafanya. BADILIKA
 
Asilimia kubwa ya wadada wakibongo wana element zakitapeli mtu anakusaidia vzuri tena kwa moyo mzuri wanamuona danga tena mtu ukishamtatulia shida zake anakuona Kama takataka na hivo unaweza shangaa hata hio simu hakudumu nayo kabsa
 
Wewe ni fala sana mkuu. Kuna mafala wengi kwenye huu uzi, akiwemo huyo alietoroka jeshini kisa mwanamke, ila naona kama wewe umemfunika kabisa!

Nisamehe kwa lugha kali, wewe ni fala sana.

Kwa mara ya mwisho, wewe ni fala sana brother. Fala mno!
Jamaa ni fala pro max
 
Kutoka Mwanza kwenda Dar nauli ni sh ngapi, zidisha mara mbili......matumizi yake ya njiani na kipindi cha kuwa huko kwenye send-off, Mkuu au wewe huwa unatoa ileile tu hakuna kuzidisha hata mia [emoji23][emoji23]
Mkuu ulifanya hayo yote kwani alikuwa mke wako? Au ulikuwa na pesa hazina matumizi , yani demu tu kwao hawakujui na kwenu hawa mjui unatuma tu pesa hovyo bira kufikili

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio meza kuu maana wanatuwakilisha vema sisi wajumbe wa ndiyoooo kila kitu.
Na sisi inabidi tulijadili hili kwa kina kwenye kikao kijacho cha wanaume [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Moyo wa mtu nikichaka huwezi jua anawaza nini
 
Kwaivo akikuona anakumbuka kuzama topeni
 
Unashida pahala...
 

hata hvyo unamoyo wa uvumilivu
 

na mbususu haukukutunuku!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…