min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mkuu hapo mimi sipo 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapo mimi sipo 😅
mzunguko wote wa misha ya binadamu, anahangaikia zaidi hivyo vitu tajwa hapo juu,....U r very right my friend.
Nadhani ishu sio kuyapa maisha yako thamani bali kuweza kudhibiti mihemko yako; kuna mtu nje ya hizo ngono haoni cha maana anachofanya cha kumridhisha kuishiInategemea na umeyapa maisha yako thamani kiasi gani,...
Mbona mm nishatoka uko ahahahah
Sengengeti hapo king of the jungle anadinya
Chakula na kudinya tuu hamna chingine.mzunguko wote wa misha ya binadamu, anahangaikia zaidi hivyo vitu tajwa hapo juu,....
Hongera mkuu umekomboka.Kuna kipindi nilikuwa muathirika wa video za ngono. Yani kila siku niko Telegram naangalia pilau huku nikisindikizia nyeto. Aisee mwanamke ambaye nilikuwa nae pamoja na uzuri wake wote, Kihisia ilifikia ikawa ngumu sana kulizika nae kwa michezo ya kawaida. Kwa sasa nimefanikiwa ku-desexualize akili yangu. Huu uraibu upo jamani na ni mbaya sana, kama bado hujakupata nakushauri achana na picha za ngono kabisa, Nilipofikia siku hizi hata madada wanaopost makalio yao nawaunfollow au kama ni status nafuta namba. Kuitengeneza akili yangu upya imechukua muda ila angalau nimefanikiwa.
Juzi nimesikia yule jamaa na video zake 400, hata sikuthubutu kutafuta maana hili gonjwa sitaki tena. Kuwa makini sana na nini unalisha ubongo wako.
Safi sana ulichukua uamuzi wa kianaume, ungechelewa kidogo tu ungeangamia sana..Hii tabia vijana wengi tunayo sana ni ngono muda wote.
Nilikuwa na jamaa yangu yeye akinitafuta ni mambo ya pisi tu mimi nampa michongo ya maana, yeye ni pisi tu. Kuna kipindi nikapitia ukata kweli kweli hali ngumu na mishe sina nikawa namwambia mwanangu tupeane ramani, anashinda siku nzima na harakati zake jioni anakucheki oi mwanangu nilisahau kukushtua kuna mishe ungepiga mchana ungepata hata 10K ila sio mbaya twende viwanja nipe kampani tukanyake pisi kali. Ikawa ndio tabia yake kila akinitafuta ni hivyo nikawaza nikaona huyu sio mwana ataniangamiza nikamchana nikampotezea.
Ukiwa mzima sio mgonjwa lazima bichwa lijae mawazo ya minyanduano tu
Labda uwe jobless au mwanafunziUkiwa mzima sio mgonjwa lazima bichwa lijae mawazo ya minyanduano tu
MKuu haijalishi una kazi una mjengo kwa mwanaume kamili lazima uwazie kutombaLabda uwe jobless au mwanafunzi
Utawazaje kunyanduana muda wote wakati mama mwenye nyumba Kanuna na ada ya mtoto hujalipa
Sio muda wote; sio kwa kila Mwanamke anayepita mbele ya macho yako, sio kwa kila shemeji, sio kwa watoto wa mjomba wako au shangazi yakoMKuu haijalishi una kazi una mjengo kwa mwanaume kamili lazima uwazie kutomba
Miaka hii ni ngumy sana mwanaume kamili kutowazia ngono jinsi wanawake na mabinti wanavyojiwekaSio muda wote; sio kwa kila Mwanamke anayepita mbele ya macho yako, sio kwa kila shemeji, sio kwa watoto wa mjomba wako au shangazi yako
Nyie mnaoendekeza hiyo mentality ndio mnaokujaga kusababisha mpaka huko uzeeni ndugu zenu waogope watoto wao kuwatembelea
Sio muda wote; sio kwa kila Mwanamke anayepita mbele ya macho yako, sio kwa kila shemeji, sio kwa watoto wa mjomba wako au shangazi yakoMKuu haijalishi una kazi una mjengo kwa mwanaume kamili lazima uwazie kutomba
Mbona enzi za mababu na mababu zetu watu walivaa magoma na matiti yalikuwa wazi lakini hayo yote hayakuwepo?Miaka hii ni ngumy sana mwanaume kamili kutowazia ngono jinsi wanawake na mabinti wanavyojiweka