Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Mfano kazi maalum ya hii id ni ipiJF unaweza ukawa na ID kwa ajili ya kazi maalumu tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano kazi maalum ya hii id ni ipiJF unaweza ukawa na ID kwa ajili ya kazi maalumu tu...
Watafungua kwanza simu ndio mipango mingine iendelee 😁Na haka ka Face ID nikiwa nimefariki hakata fanya kazi.
Watajua wenyewe bwanaWanasemaga ni kosa kisheria kuacha simu bila pasword.
Acha kabisaHawataamini macho yao😂
Uzi bila picha ni BATILI.
Kuishi vizuri ndo kupoje?Hiyo kuishi vizuri ndio lengo.
Huo uzi wa selfika umejaa maneno kuliko picha, ni wachache sana hupost picha na kuiacha ikae.Hatahivyo wanadada wanaoutupia picha mara kwa mara uzi wa selfika hawafiki 40. Na hatakama wangefika inahitaji huyo bwana awe hana kazi ya kufanya ili kila picha ikiwekwa aipate maana hakuna muda maalum wakuweka picha, na zikiwekwa hazikai zinafutwa, too good for them hakuna GBJF.
Na kama hana kazi anayofanya basi anakosa sifa ya kua boss wa mleta mada, ikiwa hivyo habari inapoteza credibility.
Ila angalizo lake ni la msingi. Japo maoni ya one time password(OTP) siyaungi mkono. Ni usumbufu kila unapotaka kuingia ulog in kwa password nyingine, very cumbersome. Pia sio salama kuipa system jukumu la kulinda usiri wako, kwamba yenyewe ndo ikutengenezee OTP. System zinakua comprised kila siku.
Kama anaingia kutumia google, waga password zinakua saved, ana log in automaticallyHadi Michepuko yako anaijua?[emoji848]
Siku nikiamka vibaya nawapost wote! 😆😂 Umetisha
Hata wakijua watanifanya nini? Itakuwa ni matatizo yao sio yanguIkiwa na kuchukua tahadhari kwa wale watakaobaki baada ya wewe wasijue ulichowaficha.
Kudanja ni bonge la anasa asikudanganye mtu!Mbona umeongea kinyume na ninavyojua. Ukiachana na wale wanakufa kwenye usingizi, aliyekuwa macho naona Huwa anaumia sana wakati anakata roho. Au walikuwa na masambi mengi? 😅
😂 sema kuna watu wana sura 7 humu, picha ya juzi sura ni tofauti na yaleoSiku nikiamka vibaya nawapost wote! 😆