Umewahi kuwaza nani atashika simu yako ukifa?

Umewahi kuwaza nani atashika simu yako ukifa?

It's dangerous Kwa kweli ukitaka ku log out had uninstall application ni usumbufu. Nimewahi banwa sehemu thanks God nilikuwaga sijalog in long time and I deleted the application. Wafikirie security hasa nchi hii ukitumia jf unakuwa ka suspect
Nimependa hapo mwisho ulipomaliza kwa kusema kuwa ukitumia jf unakuwa ka suspect
 
Kwahio ukafanikiwa kulogin kutumia id yake na kugundua ni mtu asiekoment sana na kwamba selfika Huwa anapita kimya kimya na kuchukua picha za wadada ausii??
Kweli umetishaaa wewe Ninoumaaaaa!
Mbona kama unataka kuhamisha hii mada?
Kuhusu kujua ID ni mimi nilimfungulia (hata whatsapp huwa namsetia), ila sikuwa najua kama anakusanya picha. Id naijua

Siku log in.
 
Hahahah. Hivi ukishakufa hata kama watajua nilikuwa nadate na nani sasa mimi marehemu itanisaidia nn. watajuana wao huko wakorokochi.
Shauri yao sio😅
 
Aliekufa kafa tu haibadilishi chochote hata siri zikijulikana.

Kuhusu huyo boss wako aliekupa kazi kwenye pc yake akipita hapa atakujua tu umefunguka sana.

Kuhusu kutunza picha sidhani kama ni kwa nia mbaya, n kuweka kumbukumbu.
Hatahivyo wanadada wanaoutupia picha mara kwa mara uzi wa selfika hawafiki 40. Na hatakama wangefika inahitaji huyo bwana awe hana kazi ya kufanya ili kila picha ikiwekwa aipate maana hakuna muda maalum wakuweka picha, na zikiwekwa hazikai zinafutwa, too good for them hakuna GBJF.

Na kama hana kazi anayofanya basi anakosa sifa ya kua boss wa mleta mada, ikiwa hivyo habari inapoteza credibility.

Ila angalizo lake ni la msingi. Japo maoni ya one time password(OTP) siyaungi mkono. Ni usumbufu kila unapotaka kuingia ulog in kwa password nyingine, very cumbersome. Pia sio salama kuipa system jukumu la kulinda usiri wako, kwamba yenyewe ndo ikutengenezee OTP. System zinakua comprised kila siku.
 
Hatahivyo wanadada wanaoutupia picha mara kwa mara uzi wa selfika hawafiki 40. Na hatakama wangefika inahitaji huyo bwana awe hana kazi ya kufanya ili kila picha ikiwekwa aipate maana hakuna muda maalum wakuweka picha, na zikiwekwa hazikai zinafutwa, too good for them hakuna GBJF.
Sio lazima akae kusubiri picha iwekwe, muda anaokutana nayo anaweza i save.

Toka uzi umeanza 2019 mpka leo hawafiki 40 Walio weka picha? Au umewazia mwaka huu pekee.
 
Hatahivyo wanadada wanaoutupia picha mara kwa mara uzi wa selfika hawafiki 40. Na hatakama wangefika inahitaji huyo bwana awe hana kazi ya kufanya ili kila picha ikiwekwa aipate maana hakuna muda maalum wakuweka picha, na zikiwekwa hazikai zinafutwa, too good for them hakuna GBJF.

Na kama hana kazi anayofanya basi anakosa sifa ya kua boss wa mleta mada, ikiwa hivyo habari inapoteza credibility.

Ila angalizo lake ni la msingi. Japo maoni ya one time password(OTP) siyaungi mkono. Ni usumbufu kila unapotaka kuingia ulog in kwa password nyingine, very cumbersome. Pia sio salama kuipa system jukumu la kulinda usalama wako, kwamba yenyewe ndo ikutengenezee OTP. System zinakua comprised kila siku.
Watu na id zao za kazi maalum.!
 
Mimi ikitokea mke wangu kafariki wala sitachukua simu yake. na kama itanilazimu cha kwanza naipeleka kwa fundi ifanyiwe formating. ctaki presha
Yes. Huu ni uamuzi bora kabisa, kwa nini ubaki na stress
 
Sio lazima akae kusubiri picha iwekwe, muda anaokutana nayo anaweza i save.

Toka uzi umeanza 2019 mpka leo hawafiki 40 Walio weka picha? Au umewazia mwaka huu pekee.
Unafahamu ni lini watu wameanza kuweka na kufuta? Unafahamu ni ID ngapi zinafanya mzunguko kwenye simu na laptop moja?

Kupata picha mbalimbali za wanawake arobaini, ni lazima uwe huna kazi. Ama JF iwe ndo kazini kwako, tena kwenye huo uzi to be specific
 
Unafahamu ni lini watu wameanza kuweka na kufuta? Unafahamu ni ID ngapi zinafanya mzunguko kwenye simu na laptop moja?

Kupata picha mbalimbali za wanawake arobaini, ni lazima uwe huna kazi. Ama JF iwe ndo kazini kwako, tena kwenye huo uzi to be specific
Sawaa
 
Alinipa ruhusa nipunguze baadhi ya files zenye videos. So nikawa nafungua kila file kujua kama kuna videos ndani.
Hapo sawa! 👊🏾

Nilijua ni wale wa naomba ni-copy movie/series kwenye 🖥 yako alafu wanachukua private files kinyemela.😬
 
Back
Top Bottom