Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Km ilivyokuwa kwa huyu ndgu Mbao za MaweJF unaweza ukawa na ID kwa ajili ya kazi maalumu tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km ilivyokuwa kwa huyu ndgu Mbao za MaweJF unaweza ukawa na ID kwa ajili ya kazi maalumu tu...
Wiki hii watu wamekua waoga kweli😂😂😂😂! Afu kwanini kaanza kuongelea kifo kwanza???
Nimesema folder ka-rename "JamiiForums"Kwamba Bossi hatumii social networks nyingine zaidi ya jf ???
Nimetumia kifo kama mfano tu, ila mazingira ya mtu kuona privacy zako ni mengi.Kwanini umeanza na habari za kifo mkuu mtu kuingia kwenye akaunti yako si mpaka ufe mwingine anaeza azima simu yako ili atumie intanet akakuta upo jf n
Atahamishia line kwa simu yakee .. by the way atabaki kujiumiza moyo ili Hali usharudi mavumbiniSimu yangu Ina password kila Kona[emoji38]
Kabisa mkuu zina mambo mengi sana😂Nina ndugu yangu tuna share baba anajua siri zangu nyingi na miki najua zake nyingi ninamwambiaga oya siku chochote kikitokea we wahi simu yangu najua vyote anavojua na ata asivyo vijua havito m mshtua sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] izi simu izi acha tu
Mbona picha nyingi hata saivi ukienda kule unazikuta mkuu anaekichafua ana matatizo yake binafsi!Nimesema folder ka-rename "JamiiForums"
Nimetumia kifo kama mfano tu, ila mazingira ya mtu kuona privacy zako ni mengi.
Mkuu ukifa umekufa,dunia sio makazi yako tena,Au sio[emoji23]
Itafahamika tu mda ukifika ila kuna watu wana mafile yenu 😅Hizo picha zenye sura nusu? Kama yangu anatunza halafu anasubiri upande mwingine aunge au?
Sawa. Nani ana delete sasa?
Kwahio ukafanikiwa kulogin kutumia id yake na kugundua ni mtu asiekoment sana na kwamba selfika Huwa anapita kimya kimya na kuchukua picha za wadada ausii??Lazima ana sababu zake japo sikufanikiwa kuzijua.
Safi sana, umeweka ulinzi nzuriAtakakekuwa nayo, ku delete ni ku reset, hatogusa hata data yangu moja.
Nina backup online nalipia ya 1t anayo access yake mwanasheria wangu.
Ina data zote za muhimu, login na picha toka za utotoni.
Mwanangu wa kiume akifika tu 20 years, Nitampa, kama sipo, mwanashetia wangu atampa.
Langu vitu vyote vya mkononi na laptop no one can access anything.
Kazi kwao sasa,Hakuna kabisa [emoji23] ila watakaobaki sasa...