Umewahi kuwaza nani atashika simu yako ukifa?

Hapo sawa! ๐Ÿ‘Š๐Ÿพ

Nilijua ni wale wa naomba ni-copy movie/series kwenye ๐Ÿ–ฅ yako alafu wanachukua private files kinyemela.๐Ÿ˜ฌ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hapa sina hiyo tabisa kabisa. Aliomba msaada tu ndio na mimi nikaona
 
Kuishi vizuri ndo kupoje?
Nahisi kuishi vizuri ni kufanya jambo lako kwa uhuru lakini usimdhuru mtu
Ikiwa na kuchukua tahadhari kwa wale watakaobaki baada ya wewe wasijue ulichowaficha.
 
Huo uzi wa selfika umejaa maneno kuliko picha, ni wachache sana hupost picha na kuiacha ikae.

Huo utaratibu wa OTP sikubaliani nao kabisa.
 
Mbona umeongea kinyume na ninavyojua. Ukiachana na wale wanakufa kwenye usingizi, aliyekuwa macho naona Huwa anaumia sana wakati anakata roho. Au walikuwa na masambi mengi? ๐Ÿ˜…
Kudanja ni bonge la anasa asikudanganye mtu!
Watu huwa "wanakojoa" kabisa kwa starehe na burrrrdan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ