Umewahi tembea umbali gani mrefu kwa miguu ndani ya jiji la Dar es Salaam?

Pale UDSM hadi Makabe, baada ya asubuhi yake Konda kugoma kurudisha chenji ya elfu 10 akisema nimempa mia 400 😏😏😏😏
 
Mkuu hebu acha chai basi km 200 +
Hiyo naamini ,nakumbuka kaka zangu walinifurusha kwe2 1998, akili ilinituma kahama alipo mamangu then ,Mzee nilipiga guu ,mbele ya kilomita 250 siku 8 Cha ajabu nlikuwa nikipita sehemu napakumbuka nikipita na mzazi kwenye basi , mwanza to kahama kmmk daaah na nlikuwa mtoto bado , Nina bahati nlifika hivi el nino mwaka ule ndo ikaanza ...mamangu aliponiona alishtuka Sana
 
Pole sana mkuu ila kwa siku nane sawa jamaa yy anasema siku mbili kwa huo umbali [emoji3][emoji2]
 
Kumbe upo moro
 
Ujinga mwingine nikiwa sekondari nishatembea kutoka murutunguru hadi kagunguli nenda Rudi hyo kisa kuona wasichana.

Kutoka murutunguru kwenda bugorola nenda Rudi alafu tunapanda feri kwenda ukara siku hyo tukakuta ajali mtumbwi umegongwa watu wakazama ziwan Ila ujinga hatukurud shulen tukaendelea na safari.

Kutoka murutunguru kwenda nansio hapa watu tulitoka saa 9 usiku.

Kutoka mwamapalala mpaka luguru gineri nenda Rudi.

Nilipigwa suspension nikaenda home nikadanya nikapewa hela nikaondoka nimetulia sehemu naiskilizia suspension iishe pesa ikaisha nilitembea kutoka maswa mpka mwamapalala
 
Tabata Bima-mabibo-Magomeni-Mwananyamala Kisiwani
 
Enzi hzo nlipokuwa machinga nishawahi tembea Kimara to goba to mpaka wazo hill kiwanda cha cement,, nkaja kutokezea mbezi shule pale,, nkapanda daladala mpaka mawasiliano!!
 
Kitoka uwanja wa Taifa -Tazara-Buguruni - Tabata - Ubungo - Hall V mlimani.
Wilaya nilizotembea enzi hizo ilikuwa Temeke-Ilala -Kinondoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…