Alikuwa anatembea huyo, mimi nilitembea mwendo wa kawaida kabisa km 32 kutoka makete wilayani hadi ikonda kwa masaa 6 kasoro. Ina maana km 42 ningezimaliza kwa masaa 7 au 8 kwa kutembea.42km kwa mkimbiaji nzuri na kimashindano ni masaa 2+
Weweeee 59km kwa masaa 10 ilikuwa n milima gani hiyooo ulipanda mkuu
Aisee
Mbona karibu hivyoNiliwahi kutembea kutoka Tabata Segerea mpaka Gongo la Mboto/Pugu Sekondari
Hakuna umbali wowote hapo watu kutoka Ubungo nhc mpaka kariakoo via makanya tumetembea sanaSinza kwa remmy Hadi magomeni mikumi via shekilango road ,via morogoro road
Sawa mkuu hakuna umbali wowoteHakuna umbali wowote hapo watu kutoka Ubungo nhc mpaka kariakoo via makanya tumetembea sana
Atakua mtoto wa mama huyoMwanangu mbona karibu sasa
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🙌Pugu shule ya msingi mpaka Airport baana ya mishe yangu kufeli
Kutoka Chuo Udsm hadi nyumbani mbagalaNakumbuka siku moja nikiwa Msasani alitokea kijana mmoja akaniomba nimtembeze kwenye mtumbwi.
Ila kwa bahati nzuri kukawa na boti linaenda Kigamboni siku hiyo, basi bhana nikamuunganisha akaniambia tuende wote mpaka taifa tukaangalie na Mpira kati ya Yanga na Mbeya city.
Alifurahi sana tulipofika Kigamboni tukapanda panton tukavuka posts tukaenda kupanda magari ya rangi tatu, basi bhana tulipofika akaenda kukata ticket kwenye gari akakata ya kwake tu akaniambia nimsubiri, anaenda kutoa hela kwenye simu, nikamuamini poa tu japo nilishashtuka ila nikawa najipa moyo.
Mpaka Mpira unaanza hakutokda ila bidi nianze kupiga ado ado na mguu mpaka msasani.
Unastahili tuzo ya kiatu 🤣 kama Mayele...TAIFA HADI CHAMAZI, sitosahau malamamae
We ni mvivu kinyama utakuwa bonge sana kwa aina hio ya maishafire mpaka mnazi mmoja tu hapo nilimlaani yule mama mno
Wewe ni mwamba 🤣🤣🤣Kutoka Chuo Udsm hadi nyumbani mbagala
Sitosahau nilitumia masaa sita kufika nyumbani nilitoka chuo saa sita mchana nikafika hom saa 12 jioni
Mkiwa wengi haina kwere 🤣kutoka Jkt mgulani mpaka kongowe mzinga siku hiyo sitakuja kusahau mvua ilikuwa inanyesha sana foleni ilianzia bandarini mpaka mbagala inabidi tushuke tuanze kutembea mdogo mdogo