kwa nini hazifanyi kazi kwa 100% jibu scientificallyHakuna kinga inayofanya kazi kwa asilimia 100% kwenye gonjwa lolote lile. Kinga zote zina asilimia. Na hazifiki 90.
Kinga zote anazotengeneza binadamu zinakuwa na udhaifu wake mahali. Kuwa makini
Tunaongelea maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtotoHakuna kinga inayofanya kazi kwa asilimia 100% kwenye gonjwa lolote lile. Kinga zote zina asilimia. Na hazifiki 90.
Kinga zote anazotengeneza binadamu zinakuwa na udhaifu wake mahali. Kuwa makini
Sipo nje ya mada. Nimejaribu kujibu hiki kipande (galantii kwamba kwasababu wazazi wako positive na wanatumia ndio watazaa mtoto asiye na maambukizi?!!)Hapo nimekusoma ingawa umeensa nje ya maada
Mkuu unaweza kunipa tofauti ya PMTCT, PEP na PrEP?Hakuna kinga inayofanya kazi kwa asilimia 100% kwenye gonjwa lolote lile. Kinga zote zina asilimia. Na hazifiki 90.
Kinga zote anazotengeneza binadamu zinakuwa na udhaifu wake mahali. Kuwa makini
Ndio na mimi nimekwambia sio kwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ni kwenda popote pale hata kutoka kwa mama kwenda kwa mkubwa hakuna kinga yenye uhakika kwa asilimia 100%Tunaongelea maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
Mkuu unauhakika wewe ni mtaalam wa afya?Ndio na mimi nimekwambia sio kwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ni kwenda popote pale hata kutoka kwa mama kwenda kwa mkubwa hakuna kinga yenye uhakika kwa asilimia 100%
Alafu unanilipa?Mkuu unaweza kunipa tofauti ya PMTCT, PEP na PrEP?
havijui anajua uhakika haupo 100%Mkuu unaweza kunipa tofauti ya PMTCT, PEP na PrEP?
apo sasa anakuchukulia kinyonge😂😂Alafu unanilipa?
🤧🤧🤧🤧apo sasa anakuchukulia kinyonge😂😂
Wewe si mtaalam wa afya, acha kudanganya watu jukwaaniAlafu unanilipa?
Kama hayo ma pep na Prep yameshaangamiza wajinga wengi kama yeye mwache tu ajichanganye.havijui anajua uhakika haupo 100%
Hapo namuunga mkono kwene asilimia
maana njia nyingi n 95%,97% the highest huwa n 99%
Galantii..,Comments sasa🤣🤣🤣🙌
Pia wewe hujui kitu kuhusu HIV (Ugonjwa , kinga na tibaWewe si mtaalam wa afya, acha kudanganya watu jukwaani
Ni wazi hujui kitu unachoongelea. Kajifunze kwanza maana na tofauti ya PMTCT, PEP na PrEPKama hayo ma pep na Prep yameshaangamiza wajinga wengi kama yeye mwache tu ajichanganye.
PEP mi naitetea inasaidia sana wengi wanajichoma na sindano za wagonjwa wenye HIV hospital wanaponaKama hayo ma pep na Prep yameshaangamiza wajinga wengi kama yeye mwache tu ajichanganye.
🤣🤣🤣🤣Galantii..,
mkuu si vema kutoa conclusion kwa kuangalia mtazamo wa mtuNi wazi hujui kitu unachoongelea. Kajifunze kwanza maana na tofauti ya PMTCT, PEP na PrEP
Umeng'ang'ania kutaka ushahidi. Sasa tafuta muathirika akutie mimba, halafu meza dawa kwa wakati. Ukijifungua mtoto negative inakuwa ushapata ithibati yako.Nataka njia au evidence based stories za hawa watu