Uchaguzi 2020 Ummy Mwalimu atangaza kugombea Ubunge Jimbo la Tanga mjini

Muda wa kutangaza NIA kwa CCM UMEFIKA?

Mzee Mangula jitokeze UWAKEMEE.

Huyo Mangula mwenyewe saa hii anaweza hata kuongea? Saa hii anapambana ili Isirail asiitoe roho yake.
 
Sisi wabongo hatupo vizuri kuchangamkia vitu into details, umeona keshasema "amejenga hospital na vituo vya afya nchi nzima". Kwa sisi watanzania that's more than enough kumpa ubunge, hatutakagi shida sisi. Terrible!!
 
Huu siyo wakati wa kujinadi kugombea ubunge ndugu waziri wa afya. Mi ccm shida.
 
Not the right time for that

Especially tukiwa kwenye janga la covid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…