Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Wanatafuta sababu ya kupata support kwa issue ya Dp wodi. Kwamba kama tunabinafsisha bandari kimtindo, basi na hospitali zibinafsishwe kimtindo; dactari ale kwa urefu wa kamba yake!. Hii ndio kula kwa urefu wa kamba.Hakuna siku mafuta na maji yaliwahi kuchanganyikana...π€¨
Na sio siku nyingi serikali itakuja kujutia uamuzi wake huu...π
Au kama vipi, Kila mtumishi atumie ofisi ya serikali kujiongezea kipato baada ya muda wa kazi uliopangwa kuisha...π
Huu upuuzi ukome mara Moja,naona Kila Kiongozi anakuja na tamko lake na huyu Ummy anajifanya ni kama VP wa Samia.
kula kwa urefu wa kamba yajo, hii ndio tafsiri ykeUmmy awezi kufanya decision kutokana kichwani mwake,hayo mambo haya ruhusa LA Baraz LA Mawaziri kupitia Mwenyekiti wake SAMIA
Hili nalo neno kutakua na uhuni wa kutoshaUwwwwiiii.....πββοΈ
Tumekwisha.....π
Yaani ameamua kuwapa rungu kabisa...... ili waanze kufanya ucheleweshaji wa makusudi ili wajipatie kipato cha lazima baada ya muda wa kazi....π€
Huu ni upuuzi wa hali ya juu, wagonjwa hawatahudumiwa kwa muda wakazi ili wahudhurie clinic binafsiNi mwendo wa kubinafsisha kila kitu, waziri wa Elimu nae atoe maagizo haya kwa walimuu.
Nyie tayari mbona tution na mitihani ya buku buku watoto wa primary mshafanya sanaNa sisi walimu tutaanza kutumia shule za serikali kama private schools baada ya muda wa kazi. Daktari na wagonjwa wake mwalimu na wanafunzi wake.
Mbna kazii ipooo, wallah.Huu ni upuuzi wa hali ya juu, wagonjwa hawatahudumiwa kwa muda wakazi ili wahudhurie clinic binafsi
Nateteaga kwenye point sio upuuziEndelea kuwatetea ndugu zako