Sometimes hufichagi rangi yako 😂😂😂, The best sgang!!Wasajaliwe haraka tuanze kampeni mapema kama Kenya!
Hahahaaaa....... Mimi ni mnyalu ila Magufuli nilimkubali sana!Sometimes hufichagi rangi yako 😂😂😂, The best sgang!!
Kitasajiliwa kwa sababu Kinana ni mwanademokrasia!Hawatasajiliwa ili ccm ibaki kuwa na nguvu
How?Hahahaaaa....... Mimi ni mnyalu ila Magufuli nilimkubali sana!
Kenya kampeni zinanza Miaka miwili kabla ya uchaguzi walianza mwezi wa nane 2020 uchaguzi mwezi wa nane 2022Wasajaliwe haraka tuanze kampeni mapema kama Kenya!
NA hiyo katiba yao mpya naona ni kama haijawasaidia vile,yaani ni vurugu tupu,ufisadi wa kutisha,pamoja na kuuana,Kenya kampeni zinanza Miaka miwili kabla ya uchaguzi walipoanza mwezi wa nane 2020 uchaguzi mwezi wa nane 2022...
Kampeni zilianza 2020?? Mbona unapotosha.... Kisheria kampeni zinaanza mwezi May/June 2022.Kenya kampeni zinanza Miaka miwili kabla ya uchaguzi walianza mwezi wa nane 2020 uchaguzi mwezi wa nane 2022
Imewasaidia hauoni mahakama ipo huru na hata mafisadi kama Sonko n.k wamefikishwa mahakamani. Hayo yasingewezekana bila katiba mpya kuipa nguvu mahakama.NA hiyo katiba yao mpya naona ni kama haijawasaidia vile,yaani ni vurugu tupu,ufisadi wa kutisha,pamoja na kuuana,
Si wakisajili wanaogopa nini?Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu...
una fahamu historia ya chadema...?Mnaikuza tu ila hamna kitu hapo, hao wakipewa kesi ya ugaidi hiko chama kitasambaratika ndani ya wiki.
Ni CHADEMA pekee kimeweza kuwith stand the test of time. ACT kilipitia msuko msuko kidogo tu kikafa, na kama sio Maalim kujiunga huko kingekuwa historia.
So chama Cha siasa sio mihemko wanahitaji miaka 10 ndio walau watapata diwani mmoja.