Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tabia za kimalaya zilivo!Sasa kama huchangii nini kinakuuma wanaume wakichangia hela zao?
Thubutu yao!Wasituhamishe kwenye HOJA kuu ya kudai KATIBA mpya. Wakinyimwa Usajili wahamie hata chama Cha Mh Rungwe watatoboa kama Kweli Wana mtaji wa watu Kutoka chama Dola😄
Theme ya kinachoongelewa hapa hujaielewa. Kinachoongelewa hapa siyo hali halisi bali ni imaginations. No one has ever done such a thing. Neither is there one with a thought of doing it!Sasa kwa Tanzania hii watu hawapigi kura kikanda, na ni hatari na ujinga wa hali ya juu sana kwa mwanasiasa yoyote kuhimiza watu wapige kura kikanda kwa kauli kama hizi
Afadhali kuongozwa kidikteta kuliko kuwa na demokrasia ya kikabila
hovyoo kabisaKwani Sasahivi kuna uchaguzi?si mnasema nyinyi sio madicteitor ni wanademoclasia,kipe usajili chama mpambane kwa hoja na sera.
Waende tena PCCB kama walivyoenda kudai michango ya kina lijua likaliUmeshachukua kadi mkuu?