Umoja party walalamikia kucheleweshewa usajili, kumgongea hodi Rais Samia

Umoja party walalamikia kucheleweshewa usajili, kumgongea hodi Rais Samia

Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Hawa ni CCJ ya mjini hawana jipya
 
Hebu tuondoleeni upuuzi wenu, yani Rais aache kufanya kazi za maana awasikilize genge la wahuni?

Kajiungeni na UDP ya cheo ndio chama cha wasukuma.
UDP Mapendo kingekuwa ni chama cha wasukuma, basi kingekuwa ni cha pili kwa ukubwa baada ya CCM. Acha kuwafundisha wasukuma akili ambayo hawana kwa sababu siku ikitokea wakawa na akili ya namna hiyo, wanaweza kusumbua kwa kiasi kikubwa sana. Neither sukuma gang was pioneered by sukumas; bali walikuwa wanachafuliwa
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Wasituhamishe kwenye HOJA kuu ya kudai KATIBA mpya. Wakinyimwa Usajili wahamie hata chama Cha Mh Rungwe watatoboa kama Kweli Wana mtaji wa watu Kutoka chama Dola😄
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Waachie mbwembwe,wapambanie hapo hapo Kwa Mutungi,wasijione special saana,kutafuta huruma.
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Chama Cha kikabila hiko hamna kuwapa usajili mbwa hao
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Mwenyekiti wa Chama Dk Slaa
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Hii nchi shida sana kila kitu kwa hisani Rais, katiba mpya ije ituondolee huu upuuzi
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Rais ndio anayetoa usajili?
 
Kenya kampeni zinanza Miaka miwili kabla ya uchaguzi walianza mwezi wa nane 2020 uchaguzi mwezi wa nane 2022

Yaani hakuna kinachofanyika Miaka miwili ni kelele tu za uchaguzi na mikutano ya siasa viongozi hawafanyi kazi kuanzia Raisi na makamu na mawaziri na wabunge!!
Unapiga kampeni hadi kufilisika kabla ya uchaguzi

Kwa hili Kenya Hawako vizuri. Watu hawataki kwenye viti kufanya kazi wakati mshahara na miposho wanalipwa na Serikali
Na maendeleo wanawazidi. Aisee
 
Hebu tuondoleeni upuuzi wenu, yani Rais aache kufanya kazi za maana awasikilize genge la wahuni?

Kajiungeni na UDP ya cheo ndio chama cha wasukuma.
Hebu acha hayo mambo ya ukabila. Watu wanataka kuanzisha chama unawaita 'genge la wahuni'! Kama kuna sababu kwa nini wasianzishe chama, waambiwe hizo sababu kuliko kukaa kimya mwaka mzima. Kama chama chako kingekataliwa kuandikishwa, si ungekuja juu na kusema hakuna demokrasia nchini?

Halafu huo ushamba unaoleta wa ukabila hauna nafasi katika jumuia ya Kitanzania. Kwani wewe usiye Msukuma ulitaka kujiunga na UDP, Cheyo akakukatalia na kukuambia hiko ni chama cha Wasukuma tu? Hapo hapo wengine wakisema CHADEMA ni chama cha Wachaga mnanuna na kuanza kuwakosoa watoa hoja. Hizo ndiyo kazi anazopaswa Rais kuzifanya kwa kuingilia kati ili ajue kulikoni.

Rais hana budi kuona kwamba Mtanzania ana uhuru wa kufanya atakalo mradi tu havunji sheria. Mmoja wa wavunja sheria ni wewe unayeleta ukabila.
 
Hebu acha hayo mambo ya ukabila. Watu wanataka kuanzisha chama unawaita 'genge la wahuni'! Kama kuna sababu kwa nini wasianzishe chama, waambiwe hizo sababu kuliko kukaa kimya mwaka mzima. Kama chama chako kingekataliwa kuandikishwa, si ungekuja juu na kusema hakuna demokrasia nchini?

Halafu huo ushamba unaoleta wa ukabila hauna nafasi katika jumuia ya Kitanzania. Kwani wewe usiye Msukuma ulitaka kujiunga na UDP, Cheyo akakukatalia na kukuambia hiko ni chama cha Wasukuma tu? Hapo hapo wengine wakisema CHADEMA ni chama cha Wachaga mnanuna na kuanza kuwakosoa watoa hoja. Hizo ndiyo kazi anazopaswa Rais kuzifanya kwa kuingilia kati ili ajue kulikoni.

Rais hana budi kuona kwamba Mtanzania ana uhuru wa kufanya atakalo mradi tu havunji sheria. Mmoja wa wavunja sheria ni wewe unayeleta ukabila.
Yaani mnasema hicho chama kitakuwa tishio kwa Rais (CCM) huku mkibaniwa kusajiliwa mnaenda tena kulia kwa huyo
Rais?
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
...Mwaka Mmoja??...
 
Back
Top Bottom