Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
You nailed itHebu tuondoleeni upuuzi wenu, yani Rais aache kufanya kazi za maana awasikilize genge la wahuni?
Kajiungeni na UDP ya cheo ndio chama cha wasukuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You nailed itHebu tuondoleeni upuuzi wenu, yani Rais aache kufanya kazi za maana awasikilize genge la wahuni?
Kajiungeni na UDP ya cheo ndio chama cha wasukuma.
Hawa ni CCJ ya mjini hawana jipyaChama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
UDP Mapendo kingekuwa ni chama cha wasukuma, basi kingekuwa ni cha pili kwa ukubwa baada ya CCM. Acha kuwafundisha wasukuma akili ambayo hawana kwa sababu siku ikitokea wakawa na akili ya namna hiyo, wanaweza kusumbua kwa kiasi kikubwa sana. Neither sukuma gang was pioneered by sukumas; bali walikuwa wanachafuliwaHebu tuondoleeni upuuzi wenu, yani Rais aache kufanya kazi za maana awasikilize genge la wahuni?
Kajiungeni na UDP ya cheo ndio chama cha wasukuma.
Wasituhamishe kwenye HOJA kuu ya kudai KATIBA mpya. Wakinyimwa Usajili wahamie hata chama Cha Mh Rungwe watatoboa kama Kweli Wana mtaji wa watu Kutoka chama Dola😄Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Waachie mbwembwe,wapambanie hapo hapo Kwa Mutungi,wasijione special saana,kutafuta huruma.Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Naifahamu vizuri sana na nadiriki kusema ndio chama pekee kimeshinda hila za CCM.una fahamu historia ya chadema...?
Chama Cha kikabila hiko hamna kuwapa usajili mbwa haoChama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Mwenyekiti wa Chama Dk SlaaChama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Kwa sababu na wewe ni muuajiHahahaaaa....... Mimi ni mnyalu ila Magufuli nilimkubali sana!
Hii nchi shida sana kila kitu kwa hisani Rais, katiba mpya ije ituondolee huu upuuziChama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Rais ndio anayetoa usajili?Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Na maendeleo wanawazidi. AiseeKenya kampeni zinanza Miaka miwili kabla ya uchaguzi walianza mwezi wa nane 2020 uchaguzi mwezi wa nane 2022
Yaani hakuna kinachofanyika Miaka miwili ni kelele tu za uchaguzi na mikutano ya siasa viongozi hawafanyi kazi kuanzia Raisi na makamu na mawaziri na wabunge!!
Unapiga kampeni hadi kufilisika kabla ya uchaguzi
Kwa hili Kenya Hawako vizuri. Watu hawataki kwenye viti kufanya kazi wakati mshahara na miposho wanalipwa na Serikali
Hebu acha hayo mambo ya ukabila. Watu wanataka kuanzisha chama unawaita 'genge la wahuni'! Kama kuna sababu kwa nini wasianzishe chama, waambiwe hizo sababu kuliko kukaa kimya mwaka mzima. Kama chama chako kingekataliwa kuandikishwa, si ungekuja juu na kusema hakuna demokrasia nchini?Hebu tuondoleeni upuuzi wenu, yani Rais aache kufanya kazi za maana awasikilize genge la wahuni?
Kajiungeni na UDP ya cheo ndio chama cha wasukuma.
Yaani mnasema hicho chama kitakuwa tishio kwa Rais (CCM) huku mkibaniwa kusajiliwa mnaenda tena kulia kwa huyoHebu acha hayo mambo ya ukabila. Watu wanataka kuanzisha chama unawaita 'genge la wahuni'! Kama kuna sababu kwa nini wasianzishe chama, waambiwe hizo sababu kuliko kukaa kimya mwaka mzima. Kama chama chako kingekataliwa kuandikishwa, si ungekuja juu na kusema hakuna demokrasia nchini?
Halafu huo ushamba unaoleta wa ukabila hauna nafasi katika jumuia ya Kitanzania. Kwani wewe usiye Msukuma ulitaka kujiunga na UDP, Cheyo akakukatalia na kukuambia hiko ni chama cha Wasukuma tu? Hapo hapo wengine wakisema CHADEMA ni chama cha Wachaga mnanuna na kuanza kuwakosoa watoa hoja. Hizo ndiyo kazi anazopaswa Rais kuzifanya kwa kuingilia kati ili ajue kulikoni.
Rais hana budi kuona kwamba Mtanzania ana uhuru wa kufanya atakalo mradi tu havunji sheria. Mmoja wa wavunja sheria ni wewe unayeleta ukabila.
...Mwaka Mmoja??...Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Nyinyi kwa nini mnaenda kwa Rais kudai katiba mpya wakati mnajua hilo siyo suala la kipaumbele kwake hivi sasa?Yaani mnasema hicho chama kitakuwa tishio kwa Rais (CCM) huku mkibaniwa kusajiliwa mnaenda tena kulia kwa huyo
Rais?