Umoja party walalamikia kucheleweshewa usajili, kumgongea hodi Rais Samia

Umoja party walalamikia kucheleweshewa usajili, kumgongea hodi Rais Samia

UDP Mapendo kingekuwa ni chama cha wasukuma, basi kingekuwa ni cha pili kwa ukubwa baada ya CCM. Acha kuwafundisha wasukuma akili ambayo hawana kwa sababu siku ikitokea wakawa na akili ya namna hiyo, wanaweza kusumbua kwa kiasi kikubwa sana. Neither sukuma gang was pioneered by sukumas; bali walikuwa wanachafuliwa
Magufuli mbona alikuwa mkorofi vile, halafu alikuwa akichagiza Wasukuma kuwajaza sentiments za kikabila ili wawe wanatumia wingi wao kama leverage ya kisiasa.

Nakumbuka Pinda alivyokuwa Mwanza na Magufuli na kumtaka aongeze muda wa kukaa madarakani na kusema kanda ya ziwa kwa wingi wao ndio wanaamua Rais awe nani
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Katiba ya Tanzania inachekesha sana
Unataka kusajili Chama cha Siasa ili kisajiliwe unakwenda kumwoomba Mwenyekiti wa Chama utakachoshindana nacho kwenye Chaguzi Akusaidie
 
HICHO CHAMA CHA UMOJA NI CHA KUKIFUTA KABLA HAKIJASAJILIWA HAKIFAI KABISA KINA MRENGO WA RIVALS YAANI NI CHAMA CHA VISASI NA VINYONGO,KILICHOANZISHWA NA WATU WENYE HUSDA,KISIPATIWE USAJILI HATA KIDOGO.
CHAMA CHENYE MLENGO WA KUWAUWA WANANCHI KIMYAKIMYA NA KUWAFUNGA KWENYE VIROBA
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Watatusajili tu. Hatuna haraka..
 
Aisee kumbe sio kweli awamu hii inazingatia demokrasia.

Udikteta uko pale pale

Ila udikteta wenyewe umepakwa asali.
 
Kuna taratibu zinajichanganya zenyewe.

Yani chama fulani kinaenda kwa mwenyekiti wa chama kingine (ccm) kumuomba amshurutishe msajili wa vyama kuharakisha usajili wao!
Hakuna utaratibu huo hao Umoja Party wamejichanganya wenyewe na inaonesha jinsi weledi wao ulivyo mdogo kwenye siasa!
 
Hahahah..

Hii ni "move" yenye akili Kweli Kweli kutoka "Lumumba"..

A very clever strategy to kill the stubborn and influential "Ufipa"

Hili jambo tumeshalijadili humu, kuwa hicho chama ni cha maigizo na kitajifanya kinapata mikwamo ili kuchota akili ndogo. Hicho chama ni tawi la ccm ili kuipa backup ccm ikibanwa. Uzuri sasa hivi hizo hadaa zote tunazitambua. Waingie field ndio watajua hawajui.
 
Hawa wapuuzi kama wapo serious kui challenge CCM wangejiunga kudai Katiba ambayo ingepunguza nguvu za Serikali (CCM) juu ya kuvibana vyama

Sasa hapo wanamlilia Rais wakati huyo Rais ndio anampa maelekezo huyo msajili awabanie....akili ni kitu adimu sana

Hii ni backup ya ccm, wataigiza upinzani ili kuhadaa umma kuwa ni wapinzani, lakini watakuwa wanachukua maelekezo namna ya kufanya siasa za kipinzani. Hiki chama kumeanzishwa na ccm kwa ushirikiano na Tiss 2018. Sababu kadhaa kikachelewa kusajiliwa, lengo ni kupunguza nguvu ya upinzani wa kweli. Vuta subira utaona siasa zake.
 
Hebu tuondoleeni upuuzi wenu, yani Rais aache kufanya kazi za maana awasikilize genge la wahuni?

Kajiungeni na UDP ya cheo ndio chama cha wasukuma.
Unapgopa nini mkuu, ile Nembo siyo?

Wasukuma nao wanahaki ya kuunda chama cha siasa!

Na wewe mmang'ati Fanya hivyo, mbona wenzako wachaga wameweza kuunda chama na kinapeta tuu, cha msingi kisitukuze kabila lako tuu
 
Magufuli mbona alikuwa mkorofi vile, halafu alikuwa akichagiza Wasukuma kuwajaza sentiments za kikabila ili wawe wanatumia wingi wao kama leverage ya kisiasa.

Nakumbuka Pinda alivyokuwa Mwanza na Magufuli na kumtaka aongeze muda wa kukaa madarakani na kusema kanda ya ziwa kwa wingi wao ndio wanaamua Rais awe nani
Ukishamtaja Hayati Magufuli; mimi siwezi kuongea kitu kwa sababu nayajua mengi mno yaliyokuwa yakifanyika kama hujuma kwake ukiwemo utekaji pamoja na kuasisiwa kwa Sukuma Gang

Still kutokana na statistics zinazosemekana kuwepo, ni kwamba mgombea yeyote akikosa kura kwenye mikoa mingine yote Tanzania isipokuwa akafanikiwa tena kupata zote kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa, the chances kwamba anaweza kushinda ni kubwa.

Kanda ya Ziwa siyo Mwanza bali ni muunganiko wa mikoa ya Mara, Kagera, Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga na Tabora, kama sikosei
 
Kenya kampeni zinanza Miaka miwili kabla ya uchaguzi walianza mwezi wa nane 2020 uchaguzi mwezi wa nane 2022

Yaani hakuna kinachofanyika Miaka miwili ni kelele tu za uchaguzi na mikutano ya siasa viongozi hawafanyi kazi kuanzia Raisi na makamu na mawaziri na wabunge!

Unapiga kampeni hadi kufilisika kabla ya uchaguzi

Kwa hili Kenya Hawako vizuri. Watu hawataki kwenye viti kufanya kazi wakati mshahara na miposho wanalipwa na Serikali
Ndio uzuri wa Katiba Bora.....hapo Ndio ujue Beuracracy Kenya ipo vizuri,Wanasiasa wakikkanyagana lakini Serikali ipo imara,tofauti kabisa na hapa kwetu Chama kimeshika hatamu na utamu!
 
Wamejinajisi wao wenyewe kwa kuweka mtu ambaye ni muuaji na fisadi
... wangeweka japo picha ya Mwl. Nyerere angalau kwa mbali wangeeleweka. Ila kutumia picha ya jamaa wameonesha ni kwa kiwango gani hawana akili.
 
Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Hicho chama wana akili kweli?
Wameapa kuwachukua wanachama wa CCM.
Wanawekewa figisu na serikali ya CCM.
Sasa wanaenda kumlalamikia mwenyekiti wa CCM.
Kweli duniani wajinga ndio waliwao!!!
 
Hawatasajiliwa ili ccm ibaki kuwa na nguvu
Watasajiliwa, kwani ni CCM wenyewe kwa wenyewe wanawatafuta wasioridhika ili wawarishishe au wawatimue kwanye Chama. Wale watakafuata mkumbo watajuta na wale ambao wako kwenye mpango huo watapeta badae
 
Ndio uzuri wa Katiba Bora.....hapo Ndio ujue Beuracracy Kenya ipo vizuri,Wanasiasa wakikkanyagana lakini Serikali ipo imara,tofauti kabisa na hapa kwetu Chama kimeshika hatamu na utamu!
Serikali imara wapi ? Raisi au makamu wakienda popote wanaenda kwa gharama za Serikali kuanzia ulinzi, magari wasaidizi nk sababu hawawezi kwenda kama raia wa kawaida huo ufujaji wa pesa za umma


Miaka miwili mtu anasafiri Misafara ya Raisi au makamu msafara wanakula perdiem za Serikali kampeni za kisiasa za wazi ndio unasema katiba Bora ? Pesa ya walipa kodi inateketea Miaka miwili kwa kampeni za kisiasa akili kichwani zimo wewe?
 
Mimi sijazungumzia gharama za kisiasa,naamanisha kuwa Urasimu( bureaucracy ) Kenya imaewekwa vizuri kwenye Katiba,tofauti na Tanzania ...Ndio maana Rais wa Kenya unaweza kumkuta anamlalamikia Jaji au Mtumishi wa Tume ya Uchaguzzi...Kenya wapo mbali sana na Serikali ya CCM!
Hàlafu usiwe unazidisha sana ushabiki...inakufanya uendelee kuwa Mpumbavu!
Serikali imara wapi ? Raisi au makamu wakienda popote wanaenda kwa gharama za Serikali kuanzia ulinzi, magari wasaidizi nk sababu hawawezi kwenda kama raia wa kawaida huo ufujaji wa pesa za umma


Miaka miwili mtu anasafiri Misafara ya Raisi au makamu msafara wanakula perdiem za Serikali kampeni za kisiasa za wazi ndio unasema katiba Bora ? Pesa ya walipa kodi inateketea Miaka miwili kwa kampeni za kisiasa akili kichwani zimo wewe?
 
Ukishamtaja Hayati Magufuli; mimi siwezi kuongea kitu kwa sababu nayajua mengi mno yaliyokuwa yakifanyika kama hujuma kwake ukiwemo utekaji pamoja na kuasisiwa kwa Sukuma Gang

Still kutokana na statistics zinazosemekana kuwepo, ni kwamba mgombea yeyote akikosa kura kwenye mikoa mingine yote Tanzania isipokuwa akafanikiwa tena kupata zote kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa, the chances kwamba anaweza kushinda ni kubwa.

Kanda ya Ziwa siyo Mwanza bali ni muunganiko wa mikoa ya Mara, Kagera, Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga na Tabora, kama sikosei
Sasa kwa Tanzania hii watu hawapigi kura kikanda, na ni hatari na ujinga wa hali ya juu sana kwa mwanasiasa yoyote kuhimiza watu wapige kura kikanda kwa kauli kama hizi
Afadhali kuongozwa kidikteta kuliko kuwa na demokrasia ya kikabila
 
Back
Top Bottom