Kama CCK ilivyosajiliwa siyo?Kitasajiliwa kwa sababu Kinana ni mwanademokrasia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama CCK ilivyosajiliwa siyo?Kitasajiliwa kwa sababu Kinana ni mwanademokrasia!
Kiherehere chao kimewaponza;Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Kwani Kinana anasajili vyama?😀Kitasajiliwa kwa sababu Kinana ni mwanademokrasia!
Ndio....... Hahahaaaa!Kwani Kinana anasajili vyama?😀
Hawatasajiliwa
Wanajua jinsi kitakavyoleta ushindani kwa mafisadi
NA hiyo katiba yao mpya naona ni kama haijawasaidia vile,yaani ni vurugu tupu,ufisadi wa kutisha,pamoja na kuuana,
Kenya kampeni zinanza Miaka miwili kabla ya uchaguzi walianza mwezi wa nane 2020 uchaguzi mwezi wa nane 2022
Yaani hakuna kinachofanyika Miaka miwili ni kelele tu za uchaguzi na mikutano ya siasa viongozi hawafanyi kazi kuanzia Raisi na makamu na mawaziri na wabunge!
Unapiga kampeni hadi kufilisika kabla ya uchaguzi
Kwa hili Kenya Hawako vizuri. Watu hawataki kwenye viti kufanya kazi wakati mshahara na miposho wanalipwa na Serikali
Unadanganya nani toka 2020 August kampeni zimepandaAcha uongo, Kenya mikutano ya kisiasa ipo sana na sio kampeni. Kampeni zitaanza mwezi wa sita.
Mbowe mwenyewe anasubiri maagizo kutoka CCM,ndio maana Sasahivi anapita mtaani anaomba pesa, baada ya kujenga chama na kufanya mikutano ya kuamsha chama yeye kila siku mtaani kuchukua buku zetu,hajui mtaani wanamchi tumepigika.Hii ni backup ya ccm, wataigiza upinzani ili kuhadaa umma kuwa ni wapinzani, lakini watakuwa wanachukua maelekezo namna ya kufanya siasa za kipinzani. Hiki chama kumeanzishwa na ccm kwa ushirikiano na Tiss 2018. Sababu kadhaa kikachelewa kusajiliwa, lengo ni kupunguza nguvu ya upinzani wa kweli. Vuta subira utaona siasa zake.
Mbowe mwenyewe anasubiri maagizo kutoka CCM,ndio maana Sasahivi anapita mtaani anaomba pesa, baada ya kujenga chama na kufanya mikutano ya kuamsha chama yeye kila siku mtaani kuchukua buku zetu,hajui mtaani wanamchi tumepigika.
Serikali tunaiomba iache figisu dhidi ya chama chetu cha umoja.Chama cha Umoja Party kiliomba usajili wa muda tangu April 2021 na kimeona kuna dalili za kukwamishwa licha ya kufuata taratibu zote ikiwemo kujibu mapingamizi juu ya rangi ya bendera na muonekano wa nembo hivyo kimepanga kwenda kumuona Rais Samia ili kupata haki ya usajili katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Upande wake, naibu msajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza amesema maombi ya chama hicho yanashughulikiwa na kuwataka wahusika watulie kwani usajili una taratibu zake ambapo huwezi kuomba leo, kesho ukapata.
Mwambie mbowe ajenge chama kilichoparaganyika sio kuwa ombaomba mtaani,mbowe ni mchaga mambo ya kuombaomba akawachie wagogo.Kama umepigika usichange maana sio lazima, na kama uliwahi kuchanga na unaona vipi kadai hela yako utarudishiwa.
Mwambie mbowe ajenge chama kilichoparaganyika sio kuwa ombaomba mtaani,mbowe ni mchaga mambo ya kuombaomba akawachie wagogo.
Me siwezi changia matapeli wa siasa mkuu,akina Sambodo waliisha changia mamilioni,tuliisha changia ela kibao pale mlimani city, lakini zote ziliishia kwenye tumbo la mbowe hata ofisi ya chama ilimshinda kujenga kwa miaka 15 ya Wenyekiti wake,tokea enzi hizo sichangii matapeli wa siasa tena.Nasema hivi, kama umechanga sana sema ni shilingi ngapi urudishiwe chako ukanywee pombe mbovu.
Me siwezi changia matapeli wa siasa mkuu,akina Sambodo waliisha changia mamilioni,tuliisha changia ela kibao pale mlimani city, lakini zote ziliishia kwenye tumbo la mbowe hata ofisi ya chama ilimshinda kujenga kwa miaka 15 ya Wenyekiti wake,tokea enzi hizo sichangii matapeli wa siasa tena.