Umoja party walalamikia kucheleweshewa usajili, kumgongea hodi Rais Samia

Kiherehere chao kimewaponza;
Kweli Mtoto halali na hela😀
 
Mimi naamini CCM wanaogopa chama kimoja tu chadema. Hao wengine Kama Umoja party Ni vichekesho tu. Watapigwa fitna moja wapotee mazima. Tujifunze kwa ACT walikimbia wote wakamuacha zitto pekee yake, baada ya kupigwa fitna na CCM .
 
Hawatasajiliwa
Wanajua jinsi kitakavyoleta ushindani kwa mafisadi

Mi naomba kisajiliwe tuone nguvu yake. Maana kinakuzwa Sana kuliko kilivyo. Wangewauliza ACT waliishia wapi, wote walikimbia mbio wakaacha chama akabaki zitto pekee yake.
 
NA hiyo katiba yao mpya naona ni kama haijawasaidia vile,yaani ni vurugu tupu,ufisadi wa kutisha,pamoja na kuuana,

Imewasaidia sana. Imeleta devolution, maendeleo yameshuka kwa Wananchi, ndio maana inakua kiuchumi. Katiba yao ipo mbali, kule magavana wanaliwa vichwa na impeachement za kutosha. Kule mahakama kufuta matokeo ya urais sio shida wala kazi. Sio huku uchaguzi unaharibika na hakuna Cha kufanyika. Kule makamu wa Rais kumpinga Rais sio issue. Kuanzisha chama Cha siasa hakuna procedures ndefu.
 

Acha uongo, Kenya mikutano ya kisiasa ipo sana na sio kampeni. Kampeni zitaanza mwezi wa sita.
 
Acha uongo, Kenya mikutano ya kisiasa ipo sana na sio kampeni. Kampeni zitaanza mwezi wa sita.
Unadanganya nani toka 2020 August kampeni zimepanda

Rutto na Kenyatta wanasubiri kutofautiana mwezi wa sita ? Mjinga wewe
Kenyatta kusema anamuunga mkono Odinga atatangaza mwezi wa sita? Hopeless wewe
 
Mtungi si ndugu yao anawachelewesha vipi
 
Mbowe mwenyewe anasubiri maagizo kutoka CCM,ndio maana Sasahivi anapita mtaani anaomba pesa, baada ya kujenga chama na kufanya mikutano ya kuamsha chama yeye kila siku mtaani kuchukua buku zetu,hajui mtaani wanamchi tumepigika.
 
Mbowe mwenyewe anasubiri maagizo kutoka CCM,ndio maana Sasahivi anapita mtaani anaomba pesa, baada ya kujenga chama na kufanya mikutano ya kuamsha chama yeye kila siku mtaani kuchukua buku zetu,hajui mtaani wanamchi tumepigika.

Kama umepigika usichange maana sio lazima, na kama uliwahi kuchanga na unaona vipi kadai hela yako utarudishiwa.
 
Nitajiunga nao nione, kama watakua strategist kama mimi nitakuwa Committed. Bila hivyo tuendelee kugawana keki ya TAIFA[emoji23][emoji23]
 
Serikali tunaiomba iache figisu dhidi ya chama chetu cha umoja.
 
Kama umepigika usichange maana sio lazima, na kama uliwahi kuchanga na unaona vipi kadai hela yako utarudishiwa.
Mwambie mbowe ajenge chama kilichoparaganyika sio kuwa ombaomba mtaani,mbowe ni mchaga mambo ya kuombaomba akawachie wagogo.
 
Mwambie mbowe ajenge chama kilichoparaganyika sio kuwa ombaomba mtaani,mbowe ni mchaga mambo ya kuombaomba akawachie wagogo.

Nasema hivi, kama umechanga sana sema ni shilingi ngapi urudishiwe chako ukanywee pombe mbovu.
 
Nasema hivi, kama umechanga sana sema ni shilingi ngapi urudishiwe chako ukanywee pombe mbovu.
Me siwezi changia matapeli wa siasa mkuu,akina Sambodo waliisha changia mamilioni,tuliisha changia ela kibao pale mlimani city, lakini zote ziliishia kwenye tumbo la mbowe hata ofisi ya chama ilimshinda kujenga kwa miaka 15 ya Wenyekiti wake,tokea enzi hizo sichangii matapeli wa siasa tena.
 

Sasa kama huchangii nini kinakuuma wanaume wakichangia hela zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…