SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mfuateni basi msitupigie kelele.nkurunzinza wa burundi kafia madarakani bt hatukuona akiombolezwa na UN wala bendera ya UN kupepea nusu mlingoti, magufuli ni rais bora wa africa kwa karne hii hata kama wapuuzi fulani hamtaki kusikia habari hizi.
Kumbe kunyongwa siyo kufa?Saddam hakufa, alinyongwa.
Ujinga unawangarimu sana watanzania...wameoumbazwa sana na mwendazake..Halafu hao wanaoitwa wanyonge wanaishi wapi hapa TZ? Yaani kuna baadhi ya watu wameaminishwa kwamba watz ni wanyonge kama wanavyotaka kutuaminisha kwamba mwendazake ni shujaa wa Afrika!!!!
Walishagundua lisu dishi limeyumba, aka chaneli hazipandi, kwa hiyo they don't give a 'kcuf' about him
Hata wewe ni marehemu kenge weweMnahangaika sana na marehemu wenu as if 2025 atagombea tena. Legacy yake kwishney as if hakuwepo vile, afu ni mwezi m1 tu
Kabisa mkuunkurunzinza wa burundi kafia madarakani bt hatukuona akiombolezwa na UN wala bendera ya UN kupepea nusu mlingoti, magufuli ni rais bora wa africa kwa karne hii hata kama wapuuzi fulani hamtaki kusikia habari hizi.
Huna akili..kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.
..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.
..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Taahira mkubwa weweHuna akili
Nionyesha ya Mobutu sambamba na Nkurunziza..kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.
..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.
..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Nionyesha ya Mobutu sambamba na Nkurunziza
Wewe ni choko Nkurunziza..kwanini usitafute wewe mwenyewe?
..vilevile mobutu hakufariki akiwa madarakani.
Wewe ni choko Nkurunziza
Unaelewa vigezo vya hili jambo?
Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.
Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Nyongeza mwambie Magufuli ni Hayati sio MarehemuHata wewe ni marehemu kenge wewe
Mbona Gaddafi haikuwa hivyo?Hata rais kichaa wa ufilipino akifa atapewa hiyo heshima since alikuwa member wa UN
Je Ghadafi aliombolezwa UNHata rais kichaa wa ufilipino akifa atapewa hiyo heshima since alikuwa member wa UN
kama marehemu alivyogawa Tanzanite kwa kgmLissu wazungu walishamtia najisi siwezi kumuamini tena. Tayari Lissu yuko compromised.
Hivi Lissu akishinda Urais si wabeligiji watajitwalia ziwa Nyanza liwe lao?
Hivi ziwa nyanza lipo wapi?.Lissu wazungu walishamtia najisi siwezi kumuamini tena. Tayari Lissu yuko compromised.
Hivi Lissu akishinda Urais si wabeligiji watajitwalia ziwa Nyanza liwe lao?