Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
7,134
Reaction score
4,556


- Binadamu hua tunaitwa SELF DESTRUCTIVE specie, maana yake ni viumbe wenye uwezo wa kujimaliza wenyewe ukilinganisha na viumbe wengine wote basi binadam tuna sifa hizo, kila nkiwaza vita ya kwanza na ya pili ya dunia, napata wasiwasi sana na kasi ya uundaji wa rocket za masafa marefu ya china.

Kwa taarifa zilizopo mpaka sasa wameweza kurusha KOMBORA(MISSLE) na limezunguka dunia mara 5 zaidi ya spidi ya sauti, na hakuna radar yoyote imeweza kuiona mpaka imerudi tena kutua china ilipotoka , shirika la pentagon linasema halina uhakika lakini linajua ni kombora lilipita.
 
Mkuu kujilinda muhimu,nilitemea ungeulizia kuhusu Israel kupora ardhi wa Wasyria pale milima Golan dunia ipo kimya pia kila kukicha Israel inapora ardhi ya waparestina na kujenga makazi dunia kimyaaaa kama hakuna dhulma inayofanyika,wiki ya Jana wamevamia mashamba ya wapalestina wakakata mizeytuni kwa chainsaw dunia kimyaaa wapalestina wangejibu ungeambiwa magaidi na je mpaka unajitambua unajua kuwa Bethlehem ipo palestina?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kujilinda muhimu,nilitemea ungeulizia kuhusu Israel kupora ardhi wa Wasyria pale milima Golan dunia ipo kimya pia kila kukicha Israel inapora ardhi ya waparestina na kujenga makazi dunia kimyaaaa kama hakuna dhulma inayofanyika,wiki ya Jana wamevamia mashamba ya wapalestina wakakata mizeytuni kwa chainsaw dunia kimyaaa wapalestina wangejibu ungeambiwa magaidi na je mpaka unajitambua unajua kuwa Bethlehem ipo palestina?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app

hio ya bethlehem najua kabisa, ila swala langu ni kuhusu china
 
Kuna mzee alinambia ukiona kuna jambo huwezi kulifanyia maamuzi au kulibadilisha, iambie akili yako iachane nalo na kupeleka focus kwenye mambo mengine ya msingi yaliyo ndani ya uwezo wako.

kama yapi aisee
 
Mkuu just curious ilijulikana vipi kama haikuonekana kwenye radar?Kwamba pia ili miss target ilijulikana vipi?
 
Back
Top Bottom