Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

uchumi na silaha ndo sauti na heshima ya dunia, acha wachina waenjoy kuyafikia malengo yao

kulikua na vita ya kwanza then ya pili ya dunia, ukiwa na kumbukumbu nzuri unakumbuka ktu kinaitwa FAT MAN, ama LITTLE BOY pale hiroshima
 
Mbona simple Tu..limerushwa out of orbit na kuzunguka kama satellite lakini opposite Na direction ya mzunguko wa Dunia hivo kuzunguka mara5 Ni rahisi sana...Na kwasababu Ni mbali radar hazidetect kirahisi
 
Mbona simple Tu..limerushwa out of orbit na kuzunguka kama satellite lakini opposite Na direction ya mzunguko wa Dunia hivo kuzunguka mara5 Ni rahisi sana...Na kwasababu Ni mbali radar hazidetect kirahisi

huezi zunguka high orbit kwa sababu satelite znakaa uko, you will collide with the satelites na pia ukiwa on high earth orbit ukiwa na spidi kama hio maaana yake ukiwa unarudi chini everything will explode na msuguano ukiwa unaanza kuingia kwenye atmosphere
 
Mkuu kujilinda muhimu,nilitemea ungeulizia kuhusu Israel kupora ardhi wa Wasyria pale milima Golan dunia ipo kimya pia kila kukicha Israel inapora ardhi ya waparestina na kujenga makazi dunia kimyaaaa kama hakuna dhulma inayofanyika,wiki ya Jana wamevamia mashamba ya wapalestina wakakata mizeytuni kwa chainsaw dunia kimyaaa wapalestina wangejibu ungeambiwa magaidi na je mpaka unajitambua unajua kuwa Bethlehem ipo palestina?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sasa wapalestina, kama mfano ulioutumia, watajilinda vipi mkuu dhidi ya uonevu wanaofanyiwa!

Hata sisi wengine tutakuja kuwa hivyo hivyo, aah, hapana, ukweli ni kwamba tupo hivyo hivyo hadi sasa. Mkubwa yeyote akiamua kuwa anataka kulinda maslahi yake, awe, mchina, Mmarekani au hata hawa wengine wadogowadogo kama India, Uingereza, Ufaransa, kama maslahi yao hayo yapo hapa kwetu, tuna lipi la kuwazuia?

Tumeona Marekani akiwafurumusha akina Saddam, Gaddafi na wengine, na dunia hakuna ilichoweza kufanya!

Lakini nikirudi nyuma kidogo na kama kujipinga kwa hayo niliyoweka hapo juu. Je, nikuulize mkuu, kwa hali ilivyo sasa, kuna mbabe yeyote anayeweza kurogwa na kuamua kwenda kumpa amri Israel, au Korea Kaskazini?

Kwa upande huo, naweza kusema kwamba kwa nchi kama yetu hii, tunaweza kabisa kusema hatutaki kuchezewa na yeyeote, awe na makombora au vipi, kwa maana akijaribu tu, hata yeye kamasi zitamtoka, pamoja na kwamba anaweza kutumaliza kabisa kama taifa, lakini hata yeye nchini kwake atakuwa na maumivu makubwa sana.
Maana ya hii ni kwamba, wananchi wake hawatamruhusu afanye ujuha wa kutushambulia.

Hili linawezekana tu, kama tunaamua kujilinda sisi wenyewe bila ya kutegemea hiyo dunia.
 
huezi zunguka high orbit kwa sababu satelite znakaa uko, you will collide with the satelites na pia ukiwa on high earth orbit ukiwa na spidi kama hio maaana yake ukiwa unarudi chini everything will explode na msuguano ukiwa unaanza kuingia kwenye atmosphere
Mkuu wewe uko miaka ya 70s au? Hii Ni 2021.. majibu:
1.kwanini satellite hazijigongi zenyewe Kwa zenyewe?
2.blue origin Na space X wanarusha rocket nje ya space Na inarudi Na kutua vizuri Tu Sasa rocket inatofauti gan Na bom?
 
Mkuu kujilinda muhimu,nilitemea ungeulizia kuhusu Israel kupora ardhi wa Wasyria pale milima Golan dunia ipo kimya pia kila kukicha Israel inapora ardhi ya waparestina na kujenga makazi dunia kimyaaaa kama hakuna dhulma inayofanyika,wiki ya Jana wamevamia mashamba ya wapalestina wakakata mizeytuni kwa chainsaw dunia kimyaaa wapalestina wangejibu ungeambiwa magaidi na je mpaka unajitambua unajua kuwa Bethlehem ipo palestina?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app

Unaweza kudhibitisha hili unalosema au ndo mambo ya kumezeshwa matango poli na mashekhe wenu na wewe umekuja kutapika utopolo wako humu
 
Mkuu wewe uko miaka ya 70s au? Hii Ni 2021.. majibu:
1.kwanini satellite hazijigongi zenyewe Kwa zenyewe?
2.blue origin Na space X wanarusha rocket nje ya space Na inarudi Na kutua vizuri Tu Sasa rocket inatofauti gan Na bom?

satelites haziwezi kugonganga kwa sababu ya trajectory
2) wanarusha rocket kwenda juu na sio side ways
 
Back
Top Bottom