Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

Ukiachana na pesa ulinzi pekee hapa duniani ni kuwa na masilaha yenye nguvu hasa kwa nchi zinazotaka kuwa au kuzidi kuwa super power , hakuna u super power bila kuwa na madude yanayoweza kuangamiza karibu dunia nzima na viumbe vyake kuanzia juu hadi mafuti kibao kwenda chini...
 
Mkuu naomba nkuulize, je, hili jambo lingefanywa na mmarekan ungehoji pia kuelezea wasiwasi wako? Au ungeshangilia na kusema baba wa dunia kafanya
Analamba matak wamarekani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hana utofauti na vibaraka wa miaka ya utumwa. Achana nae huyo
 
Back
Top Bottom