Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

Kitu kikifanywa na Marekani hua mnakiona ni halali, kikifanywa na taifa jingine inaanza kuwa kesi.
Huo mwito wako ungeuambia umoja wa mataifa uiangalie Marekani kwa jicho Kali,sababu inamiliki makombora ya nyuklia yapatayo 7000,yana uwezo wa kupiga mji wowote hapa duniani.
 
Authibitishe
Sijui unataka athibitishe vipi sasa taarifa ambayo inajulikana duniani kote.
Wewe hujui kwamba wapalestina wanaporwa maeneo yao, au hilo la sehemu ya Syria iliyotekwa wakati wa vita?

Unataka athibitishe vipi?

Kama wewe ni mfuatiliaji wa maswala kama haya huwezi kutojua yanayoendelea huko, hadi uhitaji uthibitisho.
 
Sijui unataka athibitishe vipi sasa taarifa ambayo inajulikana duniani kote.
Wewe hujui kwamba wapalestina wanaporwa maeneo yao, au hilo la sehemu ya Syria iliyotekwa wakati wa vita?

Unataka athibitishe vipi?

Kama wewe ni mfuatiliaji wa maswala kama haya huwezi kutojua yanayoendelea huko, hadi uhitaji uthibitisho.

Ebu nitajie eneo ambalo parestina wameporwa na israel
 
Kitu kikifanywa na Marekani hua mnakiona ni halali, kikifanywa na taifa jingine inaanza kuwa kesi.
Huo mwito wako ungeuambia umoja wa mataifa uiangalie Marekani kwa jicho Kali,sababu inamiliki makombora ya nyuklia yapatayo 7000,yana uwezo wa kupiga mji wowote hapa duniani.

Ni sawa na huku tu ccm wakifanya mikutano ni halali ila chadema wakifanya inakuwa haramu
 


- Binadamu hua tunaitwa SELF DESTRUCTIVE specie, maana yake ni viumbe wenye uwezo wa kujimaliza wenyewe ukilinganisha na viumbe wengine wote basi binadam tuna sifa hizo, kila nkiwaza vita ya kwanza na ya pili ya dunia, napata wasiwasi sana na kasi ya uundaji wa rocket za masafa marefu ya china, kwa taarifa zilizopo mpaka sasa wameweza kurusha KOMBORA(MISSLE) na limezunguka dunia mara 5 zaidi ya spidi ya sauti , na hakuna radar yoyote imeweza kuiona mpaka imerudi tena kutua china ilipotoka , shirika la pentagon linasema halina uhakika lakini linajua ni kombora lilipita.

Mambo mengine ukiyafuatilia sana utaogopa kufanya mambo yako
 


- Binadamu hua tunaitwa SELF DESTRUCTIVE specie, maana yake ni viumbe wenye uwezo wa kujimaliza wenyewe ukilinganisha na viumbe wengine wote basi binadam tuna sifa hizo, kila nkiwaza vita ya kwanza na ya pili ya dunia, napata wasiwasi sana na kasi ya uundaji wa rocket za masafa marefu ya china, kwa taarifa zilizopo mpaka sasa wameweza kurusha KOMBORA(MISSLE) na limezunguka dunia mara 5 zaidi ya spidi ya sauti , na hakuna radar yoyote imeweza kuiona mpaka imerudi tena kutua china ilipotoka , shirika la pentagon linasema halina uhakika lakini linajua ni kombora lilipita.
Mkuu naomba nkuulize, je, hili jambo lingefanywa na mmarekan ungehoji pia kuelezea wasiwasi wako? Au ungeshangilia na kusema baba wa dunia kafanya
 
Unaweza kudhibitisha hili unalosema au ndo mambo ya kumezeshwa matango poli na mashekhe wenu na wewe umekuja kutapika utopolo wako humu
Jitahidi kusumbua kichwa kufikiri na kufuatilia dunia inavyokwenda au unafikiri kila mtu humu kabeba kichwa kuhifadhia kamasi.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
huezi zunguka high orbit kwa sababu satelite znakaa uko, you will collide with the satelites na pia ukiwa on high earth orbit ukiwa na spidi kama hio maaana yake ukiwa unarudi chini everything will explode na msuguano ukiwa unaanza kuingia kwenye atmosphere
Mkuu , habari

1. Kutoka maelezo ya NASA, kuna kitu kinaitwa "Low Earth Orbit (LEO)" ambapo satellites nyingi zinapatikana (hii L.E.O inaanzia kilomita 180 mpaka kilomita 2000), ikiwemo na International Space Station (ISS) ikiwa umbali wa kilomita 408 (umbali wa Dar - Iringa ni kilomita 488).

2. Kuhusu swala la msuguano na kulipuka, inaweza kutokea kukiwa na hitilafu flani flani kwenye chombo chenyewe (hapa unaweza kufutilia swala la kulipuka kwa Space Shuttle Columbia mwaka 2003), lakini sio kawaida.

  • Unaweza kufuatilia Docuseries ya SpaceX (kampuni ya Elon Musk) jinsi walivyopeleka Raia(Civilians), narudia tena wamepeleka raia na sio wana-anga wa mbali (Trained Astronauts/Cosmonauts), huko space katika umbali wa kilomita 590 kwa siku tatu na wakarudi duniani bila shida yoyote (orbit ya 590km ni zaidi ile ya ISS ya 408km )
  • Docuseries hiyo itakupa kuonesha/elekeza/fundisha jinsi wanavyojitahidi kukabiliana na swala hilo.
  • Pia itakuonesha kuwa swala la kurudi duniani sio rahisi kama apple lilivyomdondokea Sir Isaac Newton, itaona kwamba kuna vitu vingi sana wanaviangalia kuanzia muda, hali ya hewa(atmospheric condition) kama upepo, halijoto, unyevunyevu etc, hali ya bahari(sea/oceanic condition) maana rocket zinazobeba binadamu zote mpaka sasa huwa zinaelekezwa kudondokea baharini, etc. NB; Hakuna jambo lisilo na kasoro/hatari,
 


- Binadamu hua tunaitwa SELF DESTRUCTIVE specie, maana yake ni viumbe wenye uwezo wa kujimaliza wenyewe ukilinganisha na viumbe wengine wote basi binadam tuna sifa hizo, kila nkiwaza vita ya kwanza na ya pili ya dunia, napata wasiwasi sana na kasi ya uundaji wa rocket za masafa marefu ya china, kwa taarifa zilizopo mpaka sasa wameweza kurusha KOMBORA(MISSLE) na limezunguka dunia mara 5 zaidi ya spidi ya sauti , na hakuna radar yoyote imeweza kuiona mpaka imerudi tena kutua china ilipotoka , shirika la pentagon linasema halina uhakika lakini linajua ni kombora lilipita.

Hili jambo lako lina upendeleo kidogo,

1. Urusi ana mabomu ya maafa/uharibifu makubwa/mkubwa (Weapons of Mass Destruction{WMDs}) yanayokadiriwa kuwa zaidi ya elfu 6, ikifuatiwa na USA akiwano zaidi ya elfu 5.

2. Ushirika wa kijeshi wa NATO ndo unaongoza kuwa na silaha za maangamizi makubwa kuliko ushirika mwingine wowote ule uliowahi kutokea hapa duniani.

Uwezo wa kujilinda ni muhimu. Mchina anataka kuwa superpower, kwa hiyo lazima awe na uwezo wa kujilinda kijeshi yeye na rafiki zake. Mchina anachofanya sasa ni kutuma taarifa tu, kwamba, "ukinivuruga, nitakuvuruga." Na hiyo ndo njia pekee nchi za magharibi zinaelewa, ukitoa pesa.

"MUTUALLY ASSURED DESTRUCTION {M.A.D}"​
 
Mkuu kujilinda muhimu,nilitemea ungeulizia kuhusu Israel kupora ardhi wa Wasyria pale milima Golan dunia ipo kimya pia kila kukicha Israel inapora ardhi ya waparestina na kujenga makazi dunia kimyaaaa kama hakuna dhulma inayofanyika,wiki ya Jana wamevamia mashamba ya wapalestina wakakata mizeytuni kwa chainsaw dunia kimyaaa wapalestina wangejibu ungeambiwa magaidi na je mpaka unajitambua unajua kuwa Bethlehem ipo palestina?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Anza kuchukua hatua wewe kuwakabiri wayahudi sio kutegemea wengine wawe front wewe ubakie nyuma ya keypads tu.
 
Hili jambo lako lina upendeleo kidogo,

1. Urusi ana mabomu ya maafa/uharibifu makubwa/mkubwa (Weapons of Mass Destruction{WMDs}) yanayokadiriwa kuwa zaidi ya elfu 6, ikifuatiwa na USA akiwano zaidi ya elfu 5.

2. Ushirika wa kijeshi wa NATO ndo unaongoza kuwa na silaha za maangamizi makubwa kuliko ushirika mwingine wowote ule uliowahi kutokea hapa duniani.

Uwezo wa kujilinda ni muhimu. Mchina anataka kuwa superpower, kwa hiyo lazima awe na uwezo wa kujilinda kijeshi yeye na rafiki zake. Mchina anachofanya sasa ni kutuma taarifa tu, kwamba, "ukinivuruga, nitakuvuruga." Na hiyo ndo njia pekee nchi za magharibi zinaelewa, ukitoa pesa.

"MUTUALLY ASSURED DESTRUCTION {M.A.D}"​

wakati hitler anawakorofisha watu, japan alikua zake ametulia! - lakini leo ukisema neno hiroshima na nagasaki nadhan haihitaji maelezo zaidi - nn cha kujifunza apa? hitler ndo alikua chanzo kibano kikamwangukia japan - nani anajua haya makombora yatamshukia nan ilihali haya yote yanafanyika kwa ajili ya marekani?
 
Mkuu naomba nkuulize, je, hili jambo lingefanywa na mmarekan ungehoji pia kuelezea wasiwasi wako? Au ungeshangilia na kusema baba wa dunia kafanya

kuhoji ni lazima, ila kitendo cha kurusha kombora liliozunguka dunia nzima na kurudi china bila kugundulika na radar yoyote duniani ho inajumlisha mpaka tanzania
 
Mkuu , habari

1. Kutoka maelezo ya NASA, kuna kitu kinaitwa "Low Earth Orbit (LEO)" ambapo satellites nyingi zinapatikana (hii L.E.O inaanzia kilomita 180 mpaka kilomita 2000), ikiwemo na International Space Station (ISS) ikiwa umbali wa kilomita 408 (umbali wa Dar - Iringa ni kilomita 488).

2. Kuhusu swala la msuguano na kulipuka, inaweza kutokea kukiwa na hitilafu flani flani kwenye chombo chenyewe (hapa unaweza kufutilia swala la kulipuka kwa Space Shuttle Columbia mwaka 2003), lakini sio kawaida.

  • Unaweza kufuatilia Docuseries ya SpaceX (kampuni ya Elon Musk) jinsi walivyopeleka Raia(Civilians), narudia tena wamepeleka raia na sio wana-anga wa mbali (Trained Astronauts/Cosmonauts), huko space katika umbali wa kilomita 590 kwa siku tatu na wakarudi duniani bila shida yoyote (orbit ya 590km ni zaidi ile ya ISS ya 408km )
  • Docuseries hiyo itakupa kuonesha/elekeza/fundisha jinsi wanavyojitahidi kukabiliana na swala hilo.
  • Pia itakuonesha kuwa swala la kurudi duniani sio rahisi kama apple lilivyomdondokea Sir Isaac Newton, itaona kwamba kuna vitu vingi sana wanaviangalia kuanzia muda, hali ya hewa(atmospheric condition) kama upepo, halijoto, unyevunyevu etc, hali ya bahari(sea/oceanic condition) maana rocket zinazobeba binadamu zote mpaka sasa huwa zinaelekezwa kudondokea baharini, etc. NB; Hakuna jambo lisilo na kasoro/hatari,

1: low earth orbit unayoongelea wewe ni zile satelites znazotumia free fall circulation,yaani kinachoifanya izunguke ni mwendo wake wa kuanguka, hizi hua znakaa angalau wiki au mwezi then znayeyuka, hazina span kubwa! most satelites including the ISS zpo kuanzia middle kwenye mpaka high earth orbit

2) msuguano sio swala la kiufundi ni kitu cha kawaida ndo maaana hata zile asteroid hua znapasuka zikifika hili eneo, ni changes in atmospheric pressure husababisha spidi na hio kali kutokea mlipuko
 
Back
Top Bottom