Mkuu kujilinda muhimu,nilitemea ungeulizia kuhusu Israel kupora ardhi wa Wasyria pale milima Golan dunia ipo kimya pia kila kukicha Israel inapora ardhi ya waparestina na kujenga makazi dunia kimyaaaa kama hakuna dhulma inayofanyika,wiki ya Jana wamevamia mashamba ya wapalestina wakakata mizeytuni kwa chainsaw dunia kimyaaa wapalestina wangejibu ungeambiwa magaidi na je mpaka unajitambua unajua kuwa Bethlehem ipo palestina?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Nazani lilikuwa ikiizunguka TaiwanMh!! Kombora lilikuwa linatumia fuel ya aina gani?
Kuizunguka dunia x5 sio poa ...
Nitumie mkeka wa leo mkuukwanini arifu
Mbona chache sana mkuucoastal anakufa 4