Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Hii imenipa kucheka saaa mkuu 😂😂😂Mashambulizi gani yale mbele ya mashambulizi ya Israel kwa miaka 75
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imenipa kucheka saaa mkuu 😂😂😂Mashambulizi gani yale mbele ya mashambulizi ya Israel kwa miaka 75
Mbona makasiriko mkuuToa upumbavu wako kwenye mambo ya msingi,wajinga kama wewe muwe mnaenda Facebook.
NI haki yao kujilinda kumbuka walishawahi kung'atwa na nge na Hitler , waliuliwa ndugu zao million kadhaa , wakikumbuka hayo kiukweli NI haki yao kulikataa Hilo azimio .Taifa baya sana lenye kiburi cha hali ya juu.Wanapinga maazimio hadharani bila kumuonea haya yeyote.
Kama ni kujilinda wakajilinde huko walikopigwa na Hitler sio kwenye ardhi za watu.NI haki yao kujilinda kumbuka walishawahi kung'atwa na nge na Hitler , waliuliwa ndugu zao million kadhaa , wakikumbuka hayo kiukweli NI haki yao kulikataa Hilo azimio .
Hao wa zionists hawana tofauti na wa Nazi, ni itikadi zile zileTaifa baya sana lenye kiburi cha hali ya juu.Wanapinga maazimio hadharani bila kumuonea haya yeyote.
Hatari sana!Waliambiwa waondoke wakadhani utani, wakabaki kueneza propaganda
Sijaona hata tusi jipya la kunishtua kati hayo uliyonitukana😀😀😀Toa upumbavu wako kwenye mambo ya msingi,wajinga kama wewe muwe mnaenda Facebook.
Bila kufanya hivyo hawatajua thamani ya amani siku zote za maisha yao(hamas) hapa ndio pa kujifunza kuishi kwa amani........kama ni ardhi tutaikuta mbinguni maana wote tutakufaTaifa baya sana lenye kiburi cha hali ya juu.Wanapinga maazimio hadharani bila kumuonea haya yeyote.
Toa upumbavu wako kwenye mambo ya msingi,wajinga kama wewe muwe mnaenda Facebook.
Mlitengeneza juisi ya alovera kunyweni enyi vitukuuu vya mtumeTaifa baya sana lenye kiburi cha hali ya juu.Wanapinga maazimio hadharani bila kumuonea haya yeyote.
Toa upumbavu wako kwenye mambo ya msingi,wajinga kama wewe muwe mnaenda Facebook.
Kama ni kujilinda wakajilinde huko walikopigwa na Hitler sio kwenye ardhi za watu.
Hao wa zionists hawana tofauti na wa Nazi, ni itikadi zile zile
Wanapewa kiburi na makampuni makubwa ya kiyahudi yanayo fadhili wanasiasa wa kimarekani
Nitakuwa wa mwisho kuliamini hilo!!Ndhivyo inavyokuwa.Binadamu akiona mipango yake inakwenda sawa huwa anapta kiburi sana.Israel kwa sasa amepanda hilo daraja mpaka juu.Kinachofuata ni kuporomoshwa kwa aibu ili ulimwengu wote ushuhudie kuwa ufalme wa dunia una mwenyewe aliyeumba mbingu na ardhi.
Hii ya kulia ya kijani aliko Mahmoud Abbas ndio iliyobkia.Nani ataendelea kudanganyika kuwa Israel ana nia ya kumpa madaraka eti atawale na Gaza.Ardhi ya wote na mwenye nguvu ndio atakayeichukua
View attachment 2795687
Hii ya kulia ya kijani aliko Mahmoud Abbas ndio iliyobkia.Nani ataendelea kudanganyika kuwa Israel ana nia ya kumpa madaraka eti atawale na Gaza.
Uzuri ni kwamba kabla haijamalizika yote hali imechafuka na itarudi kinyume nyume kuwa hiyo ya kushoto kwa uwezo wa Allah.
Ungekuwa unaripoti namna hii Toka uvamizi umeanza pengine ungekuwa mbali sana.Kwa sauti moja hapo jana baraza kuu la umoja wa mataifa lilipitisha azimia likitaka vita visitishwe kwa muda ili kutoa fursa ya majadiliano na kuwezesha misaada kuingia Gaza.
Kinyume chake taifa la Israel limepinga azimio hilo na katika kipindi cha masaa 24 wameongeza mapigo makali kuzidi ukali wa siku iliyopita.Katika tamko la kupinga azimio hilo Israel imeiambia UN haina uhalali wa kutoa azimio kama hilo.
Vikosi vya IDF vimeanza kuingia Gaza kwa wingi kwa kutumia vifaru ardhini na ndege za kijeshi angani zikisaidiwa na droni.
Hali ya Gaza imeelezwa na walio ndani kuwa sasa ni balaa tupu,hakuna matumaini tena na hata watu walioko huko ikiwemo waandishi wa habari hawawezi kufikiwa tena. Ndugu walioko nje na ndani kusini na kaskazini hawawezi kujuliana hali tena.
Shambulizi moja liliua watu maelfu na wengine 260 wakatekwa....ulitaka wakae kimya?Mashambulizi gani yale mbele ya mashambulizi ya Israel kwa miaka 75