inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ili tusione wanavyodundwa,maana nasikia Jana wamekula za uso so mchezoIsrael kasema hawawaakishii usalama wanahabari.
Hatari sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili tusione wanavyodundwa,maana nasikia Jana wamekula za uso so mchezoIsrael kasema hawawaakishii usalama wanahabari.
Hatari sana.
Wasibomoe majumba,hata Vita vina sheria,waingie Gaza wakawasake hamasShambulizi moja liliua watu maelfu na wengine 260 wakatekwa....ulitaka wakae kimya?
Wanajua Marekani ipo kuwatetea ndio maana wanaonyesha jeuri.Kinyume chake taifa la Israel limepinga azimio hilo na katika kipindi cha masaa 24 wameongeza mapigo makali kuzidi ukali wa siku iliyopita.Katika tamko la kupinga azimio hilo Israel imeiambia UN haina uhalali wa kutoa azimio kama hilo.
Utamjuaje Hamas wakati wanaishi katikati ya Raia?....na hawana makao maalumu...Wasibomoe majumba,hata Vita vina sheria,waingie Gaza wakawasake hamas
Mkuu hizi taarifa zimezitoa kwenye kituo Chenu cha habari cha hamas AljazeeraIli tusione wanavyodundwa,maana nasikia Jana wamekula za uso so mchezo
Wanayo, tunnels,wao waingie tu kwenye tunnelsUtamjuaje Hamas wakati wanaishi katikati ya Raia?....na hawana makao maalumu...
Hamas aliyakoroga, huu uongozi wa sasa wa Israeli ni wa Wayahudi wasioyumba kwenye misimamo yao. Mbaya zaidi dunia ilikuwa inapitia kipindi ambacho hata uonevu ulikuwa na watetezi wa kutosha katika vita vya Urusi na Ukraine. Sababu za Urusi zilikuwa ni kuwa,, Ukraine anakaribisha adui wa Urusi. Kwa Israeli, siyo tu adui kasogea, ila kaua maelfu na kuteka wengine. Wasiwasi wangu ni kuwa, Israeli ataiteka Gaza kwa ujumla wake.Kwa sauti moja hapo jana baraza kuu la umoja wa mataifa lilipitisha azimia likitaka vita visitishwe kwa muda ili kutoa fursa ya majadiliano na kuwezesha misaada kuingia Gaza.
Kinyume chake taifa la Israel limepinga azimio hilo na katika kipindi cha masaa 24 wameongeza mapigo makali kuzidi ukali wa siku iliyopita.Katika tamko la kupinga azimio hilo Israel imeiambia UN haina uhalali wa kutoa azimio kama hilo.
Vikosi vya IDF vimeanza kuingia Gaza kwa wingi kwa kutumia vifaru ardhini na ndege za kijeshi angani zikisaidiwa na droni.
Hali ya Gaza imeelezwa na walio ndani kuwa sasa ni balaa tupu,hakuna matumaini tena na hata watu walioko huko ikiwemo waandishi wa habari hawawezi kufikiwa tena. Ndugu walioko nje na ndani kusini na kaskazini hawawezi kujuliana hali tena.
Mlichelewa kipindi kile, kwa sasa ana mpaka nuclear, la kufanya ni ngumu.Israel kitakachomkuta ataomba msamaha yeye
Dadeki kazi wanayoKwa sauti moja hapo jana baraza kuu la umoja wa mataifa lilipitisha azimia likitaka vita visitishwe kwa muda ili kutoa fursa ya majadiliano na kuwezesha misaada kuingia Gaza.
Kinyume chake taifa la Israel limepinga azimio hilo na katika kipindi cha masaa 24 wameongeza mapigo makali kuzidi ukali wa siku iliyopita.Katika tamko la kupinga azimio hilo Israel imeiambia UN haina uhalali wa kutoa azimio kama hilo.
Vikosi vya IDF vimeanza kuingia Gaza kwa wingi kwa kutumia vifaru ardhini na ndege za kijeshi angani zikisaidiwa na droni.
Hali ya Gaza imeelezwa na walio ndani kuwa sasa ni balaa tupu,hakuna matumaini tena na hata watu walioko huko ikiwemo waandishi wa habari hawawezi kufikiwa tena. Ndugu walioko nje na ndani kusini na kaskazini hawawezi kujuliana hali tena.