Umoja wa Mataifa wapitisha azimio kutaka vita isitishwe, Israel yapinga na yaongeza mapigo Gaza

Umoja wa Mataifa wapitisha azimio kutaka vita isitishwe, Israel yapinga na yaongeza mapigo Gaza

Mungu wa kweli nyinyi hamjamjua
Yuko wapi wa kweli?, haujiulizi kwa nini Israel wakiwa watu kama laki moja tu waliweza kuyapiga mataifa 6 ya kiarabu kwa wakati mmoja na wakashinda?, unadhani waliwezeshwa na nani?.

Kwa sasa acha niendelee kumsifu na kumuabudu Mungu wa Israel na wewe baki na Mungu wa Mohamad baada ya kifo cha mmojawetu itafahamika nani alikuwa sahihi.

MUNGU ibariki ISRAEL
 
Pretty sure Israel won’t have a peaceful day after this bloodshed atrocities in Gaza.

The world will NOT forgive Israel

Israel won’t be the same from now on.

MARK THIS COMMENT.
 
Hana lolote huyo General wa kimarekani ndio ana iongoza hivi vita lakini hawezi shinda hao wataishia kuvunja majumba tu hawana jipya.

Jana kapewa kipigo na Hamas kawa kama mwehu analipisha kisasi kuvunja majumba, afu Mungu akawajalia wakawarushia maboom wanajeshi wao leo asubuhi walidhani ni jeshi la Hamasi
 
Ufafanuzi ni kuwa ukiona mtu ana nguvu sana lakini anapigwa na mtu dhaifu basi ujuwe huyo hakupigwa na huyo dhaifu bali aliyempiga ni Mwenyezi Mungu.Hamas wasingeweza kufanikiwa kuingia ndani ya Israel kivile kama wasingepata baraka zake.
Nataraji umefahamu
Ujinga ujinga tuu utafikir hamna kaz za kufanya
 
Mashambuizi ya ndege za kivita ndio hatari zaidi.Hamas hawana ndege hata moja wala kifaru.Kama wewe si mtu muovu basi huwezi kupigwa na mtu kama Hamas.
Kwenye vita au kujibu mapigo kuna kuchaguliana silaha?
 
Piga hao hamas,hadi waikimbie gaza milele
IMG_4087.jpg
 
Kwa sauti moja hapo jana baraza kuu la umoja wa mataifa lilipitisha azimia likitaka vita visitishwe kwa muda ili kutoa fursa ya majadiliano na kuwezesha misaada kuingia Gaza.

Kinyume chake taifa la Israel limepinga azimio hilo na katika kipindi cha masaa 24 wameongeza mapigo makali kuzidi ukali wa siku iliyopita.Katika tamko la kupinga azimio hilo Israel imeiambia UN haina uhalali wa kutoa azimio kama hilo.

Vikosi vya IDF vimeanza kuingia Gaza kwa wingi kwa kutumia vifaru ardhini na ndege za kijeshi angani zikisaidiwa na droni.

Hali ya Gaza imeelezwa na walio ndani kuwa sasa ni balaa tupu,hakuna matumaini tena na hata watu walioko huko ikiwemo waandishi wa habari hawawezi kufikiwa tena. Ndugu walioko nje na ndani kusini na kaskazini hawawezi kujuliana hali tena.
Wenzako wanasema Waisrael wamekimbizwa Gaza. Wewe unasema UN inaitaka Israel isitishe maangamizi Gaza! Mbona mnajichanganya? Ndio maana Muisrael anawakung'ukuta! Dadeki!!!
 
Wenzako wanasema Waisrael wamekimbizwa Gaza. Wewe unasema UN inaitaka Israel isitishe maangamizi Gaza! Mbona mnajichanganya? Ndio maana Muisrael anawakung'ukuta! Dadeki!!!
Yote mawili inawezekana.Ikiwa ametakiwa asitishe vita akakataa.Sasa akikimbizwa itakuwa ni bora zaidi ndipo atakapoelewa somo.
 
Mashambuizi ya ndege za kivita ndio hatari zaidi.Hamas hawana ndege hata moja wala kifaru.Kama wewe si mtu muovu basi huwezi kupigwa na mtu kama Hamas.
Takbiiiir
 
Back
Top Bottom