GreatSeal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,785
- 3,094
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mashambulizi ya roketi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mashambulizi ya roketi
Yuko wapi wa kweli?, haujiulizi kwa nini Israel wakiwa watu kama laki moja tu waliweza kuyapiga mataifa 6 ya kiarabu kwa wakati mmoja na wakashinda?, unadhani waliwezeshwa na nani?.Mungu wa kweli nyinyi hamjamjua
Ujinga ujinga tuu utafikir hamna kaz za kufanyaUfafanuzi ni kuwa ukiona mtu ana nguvu sana lakini anapigwa na mtu dhaifu basi ujuwe huyo hakupigwa na huyo dhaifu bali aliyempiga ni Mwenyezi Mungu.Hamas wasingeweza kufanikiwa kuingia ndani ya Israel kivile kama wasingepata baraka zake.
Nataraji umefahamu
Kwahiyo habari umeipata kwenye station zenu za radio alqueda?Makombora 12 na hawakutangaza wenyewe.
Tusubiri tuone.
Kwenye vita au kujibu mapigo kuna kuchaguliana silaha?Mashambuizi ya ndege za kivita ndio hatari zaidi.Hamas hawana ndege hata moja wala kifaru.Kama wewe si mtu muovu basi huwezi kupigwa na mtu kama Hamas.
Wapigwe. Wawe na adabu.!!!Taifa baya sana lenye kiburi cha hali ya juu.Wanapinga maazimio hadharani bila kumuonea haya yeyote.
Toa upumbavu wako kwenye mambo ya msingi,wajinga kama wewe muwe mnaenda Facebook.Naye alishambuliwa hadharani bila maazimio.
Waliambiwa waondoke wakadhani utani, wakabaki kueneza propagandaIsrael kasema hawawaakishii usalama wanahabari.
Hatari sana.
Mlianza nyinyi, acha mmalizweTaifa baya sana lenye kiburi cha hali ya juu.Wanapinga maazimio hadharani bila kumuonea haya yeyote.
Wakati tayari Gaza haijulikani nini kinaendelea?Israel kitakachomkuta ataomba msamaha yeye
Inshallah sheikh wangu.Mungu wa Israel na Isaka endelea kuijalia heri na fanaka Israel na wafuasi wake.
Atamwoba msamaha nani?Israel kitakachomkuta ataomba msamaha yeye
Wenzako wanasema Waisrael wamekimbizwa Gaza. Wewe unasema UN inaitaka Israel isitishe maangamizi Gaza! Mbona mnajichanganya? Ndio maana Muisrael anawakung'ukuta! Dadeki!!!Kwa sauti moja hapo jana baraza kuu la umoja wa mataifa lilipitisha azimia likitaka vita visitishwe kwa muda ili kutoa fursa ya majadiliano na kuwezesha misaada kuingia Gaza.
Kinyume chake taifa la Israel limepinga azimio hilo na katika kipindi cha masaa 24 wameongeza mapigo makali kuzidi ukali wa siku iliyopita.Katika tamko la kupinga azimio hilo Israel imeiambia UN haina uhalali wa kutoa azimio kama hilo.
Vikosi vya IDF vimeanza kuingia Gaza kwa wingi kwa kutumia vifaru ardhini na ndege za kijeshi angani zikisaidiwa na droni.
Hali ya Gaza imeelezwa na walio ndani kuwa sasa ni balaa tupu,hakuna matumaini tena na hata watu walioko huko ikiwemo waandishi wa habari hawawezi kufikiwa tena. Ndugu walioko nje na ndani kusini na kaskazini hawawezi kujuliana hali tena.
Yote mawili inawezekana.Ikiwa ametakiwa asitishe vita akakataa.Sasa akikimbizwa itakuwa ni bora zaidi ndipo atakapoelewa somo.Wenzako wanasema Waisrael wamekimbizwa Gaza. Wewe unasema UN inaitaka Israel isitishe maangamizi Gaza! Mbona mnajichanganya? Ndio maana Muisrael anawakung'ukuta! Dadeki!!!
TakbiiiirMashambuizi ya ndege za kivita ndio hatari zaidi.Hamas hawana ndege hata moja wala kifaru.Kama wewe si mtu muovu basi huwezi kupigwa na mtu kama Hamas.