Umoja wa vyama 10 vya upinzani nchini Tanzania vimefungua kesi Mahakamani Kuu kupinga muswada wa sheria ya vyama vya siasa

Umoja wa vyama 10 vya upinzani nchini Tanzania vimefungua kesi Mahakamani Kuu kupinga muswada wa sheria ya vyama vya siasa

Katika moja ya vitu ambavyo vyama vya upinzani vimekuwa vikipigia kelele mara kwa mara ni kuwa mihimili iheshimiane na kutekeleza majukumu yake. Lakini kufuatia kufunguliwa kwa hati ya dharura mahakamani kudai kuondolewa kwa mswada wa vyama vya siasa ambao bado haujapitishwa, ni kutoheshimu na kuyaamini maamuzi ya Bunge. Wabunge ndio wenye haki ya kuukubali au kuukataa mswada unaopelekwa Bungeni kwa kura.

Sasa je! ni sheria ipi inayoruhushu mtu asiye mbunge (Umoja wa vyama vya siasa unaoundwa na baadhi ya wajumbe wasio wabunge) kupinga au kukubali mswada Bungeni. Hashim Rungwe, Fatma Karume, Lowasa, Maalim Seif hao wote si wabunge wapange mswada ukubaliwe au ukataliwe! Kwanini wasingoje Bungeni waupinge kama wanavyotaka kufanya?

MIHIMILI IHESHIMIWE!
 
Katika moja ya vitu ambavyo vyama vya upinzani vimekuwa vikipigia kelele mara kwa mara ni kuwa mihimili iheshimiane na kutekeleza majukumu yake. Lakini kufuatia kufunguliwa kwa hati ya dharura mahakamani kudai kuondolewa kwa mswada wa vyama vya siasa ambao bado haujapitishwa, ni kutoheshimu na kuyaamini maamuzi ya Bunge. Wabunge ndio wenye haki ya kuukubali au kuukataa mswada unaopelekwa Bungeni kwa kura.
Sasa je! ni sheria ipi inayoruhushu mtu asiye mbunge (Umoja wa vyama vya siasa unaoundwa na baadhi ya wajumbe wasio wabunge) kupinga au kukubali mswada Bungeni. Hashim Rungwe, Fatma Karume, Lowasa, Maalim Seif hao wote si wabunge wapange mswada ukubaliwe au ukataliwe! Kwanini wasingoje Bungeni waupinge kama wanavyotaka kufanya?
MIHIMILI IHESHIMIWE!
Kwa bunge gani hili la ndugai hilo sio bunge ni mkutano wa inzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika moja ya vitu ambavyo vyama vya upinzani vimekuwa vikipigia kelele mara kwa mara ni kuwa mihimili iheshimiane na kutekeleza majukumu yake. Lakini kufuatia kufunguliwa kwa hati ya dharura mahakamani kudai kuondolewa kwa mswada wa vyama vya siasa ambao bado haujapitishwa, ni kutoheshimu na kuyaamini maamuzi ya Bunge. Wabunge ndio wenye haki ya kuukubali au kuukataa mswada unaopelekwa Bungeni kwa kura.
Sasa je! ni sheria ipi inayoruhushu mtu asiye mbunge (Umoja wa vyama vya siasa unaoundwa na baadhi ya wajumbe wasio wabunge) kupinga au kukubali mswada Bungeni. Hashim Rungwe, Fatma Karume, Lowasa, Maalim Seif hao wote si wabunge wapange mswada ukubaliwe au ukataliwe! Kwanini wasingoje Bungeni waupinge kama wanavyotaka kufanya?
MIHIMILI IHESHIMIWE!
Bunge limejaa mambumbumbu ya NDIYOO...
 
Katika moja ya vitu ambavyo vyama vya upinzani vimekuwa vikipigia kelele mara kwa mara ni kuwa mihimili iheshimiane na kutekeleza majukumu yake. Lakini kufuatia kufunguliwa kwa hati ya dharura mahakamani kudai kuondolewa kwa mswada wa vyama vya siasa ambao bado haujapitishwa, ni kutoheshimu na kuyaamini maamuzi ya Bunge. Wabunge ndio wenye haki ya kuukubali au kuukataa mswada unaopelekwa Bungeni kwa kura.
Sasa je! ni sheria ipi inayoruhushu mtu asiye mbunge (Umoja wa vyama vya siasa unaoundwa na baadhi ya wajumbe wasio wabunge) kupinga au kukubali mswada Bungeni. Hashim Rungwe, Fatma Karume, Lowasa, Maalim Seif hao wote si wabunge wapange mswada ukubaliwe au ukataliwe! Kwanini wasingoje Bungeni waupinge kama wanavyotaka kufanya?
MIHIMILI IHESHIMIWE!

Mkuu kwani wewe huu heshimu muhimli wa mahakama? Kama unafikiri wamevunja sheria au kanuni mahakama isingepokea shauri lao, au mkuu wewe unajua sheria kuliko wataalam waliopo mahakama kuu? Vile vile mkuu wametumia haki yao kikatiba, wewe kinakuuma nini? Yaani mkuu nyie Lumumba sijui mnakula maharage ya aina gani?
 
Kwa maoni yangu Mahakama hauwezi kuingilia mhimili wa Bunge. Sheria ipo katika mchakato kwa hiyo inabidi wasubiri sheria ipite ndipo waiombe mahakama kuitafsiri au kuifuta. Tumezoea jambo likiwa mahakamani Bunge huwa haliongelei kabisa.
 
Katika moja ya vitu ambavyo vyama vya upinzani vimekuwa vikipigia kelele mara kwa mara ni kuwa mihimili iheshimiane na kutekeleza majukumu yake. Lakini kufuatia kufunguliwa kwa hati ya dharura mahakamani kudai kuondolewa kwa mswada wa vyama vya siasa ambao bado haujapitishwa, ni kutoheshimu na kuyaamini maamuzi ya Bunge. Wabunge ndio wenye haki ya kuukubali au kuukataa mswada unaopelekwa Bungeni kwa kura.
Sasa je! ni sheria ipi inayoruhushu mtu asiye mbunge (Umoja wa vyama vya siasa unaoundwa na baadhi ya wajumbe wasio wabunge) kupinga au kukubali mswada Bungeni. Hashim Rungwe, Fatma Karume, Lowasa, Maalim Seif hao wote si wabunge wapange mswada ukubaliwe au ukataliwe! Kwanini wasingoje Bungeni waupinge kama wanavyotaka kufanya?
MIHIMILI IHESHIMIWE!
bunge lenye 75% misukule utaanzaje mtu kuliamini kwa mfano?
 
Heshima ya bunge inapimwa kwa matokeo ya shughuli zake. Hata Yesu na Mtume wanaheshimika sio kwa sababu tu ni mitume wa Mungu bali ni matokeo ya kazi zao
 
Kwa maoni yangu Mahakama hauwezi kuingilia mhimili wa Bunge. Sheria ipo katika mchakato kwa hiyo inabidi wasubiri sheria ipite ndipo waiombe mahakama kuitafsiri au kuifuta. Tumezoea jambo likiwa mahakamani Bunge huwa haliongelei kabisa.
NI KWELI KABISA, HAWA JAMAA SIJUI WANAWAZA NINI
 
Muswada bado haujafika bungeni bado upo kwa mwanasheria mkuu kikao cha bunge kikianza ndio anauwakilisha kwa sasa wapinzani wanamshitaki mwanasheria mkuu na serikali yake sio bunge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#ZittoKABWE: Mwaka 2017-2018 alisema "Serikali haileti miswaada ili ijadiliwe bungeni"...!!

#Huyo huyo Zitto Kabwe mwaka huu 2019 amesema kwamba, wanakwenda mahakamani kuizuia serikali isilepeleke "mswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa nchini" ili ukajadiliwe bungeni...!!

#Ukiambiwa jambo na mwanasiasa wa upinzani hapa Tanzania,,, changanya na za kwako...!!
1546583121496.png
 
Back
Top Bottom