Rich Hash
Senior Member
- Mar 7, 2017
- 149
- 203
HAWANA TOFAUTI NA MTU ANAYEPENDA KULA LAKINI HATAKI KUINGIA JIKONI KUPIKAHilo hilo la Ndugai si ndio linalowapatia posho zinazotumika katika kujenga majumba na kufungua mahoteli?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAWANA TOFAUTI NA MTU ANAYEPENDA KULA LAKINI HATAKI KUINGIA JIKONI KUPIKAHilo hilo la Ndugai si ndio linalowapatia posho zinazotumika katika kujenga majumba na kufungua mahoteli?.
#ZittoKABWE: Mwaka 2017-2018 alisema "Serikali haileti miswaada ili ijadiliwe bungeni"...!!
#Huyo huyo Zitto Kabwe mwaka huu 2019 amesema kwamba, wanakwenda mahakamani kuizuia serikali isilepeleke "mswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa nchini" ili ukajadiliwe bungeni...!!
#Ukiambiwa jambo na mwanasiasa wa upinzani hapa Tanzania,,, changanya na za kwako...!!View attachment 985484
Inaonekana na wewe unatumika kuleta huu uzi hapa. Bunge lenyewe la CCM,lenye wabunge wengi wa CCM,ushindi wa kura nyingi za ndioooooo za CCM…a you ok!? Nenda kaungane tu na mus..ba kutafuta vyeoKatika moja ya vitu ambavyo vyama vya upinzani vimekuwa vikipigia kelele mara kwa mara ni kuwa mihimili iheshimiane na kutekeleza majukumu yake. Lakini kufuatia kufunguliwa kwa hati ya dharura mahakamani kudai kuondolewa kwa mswada wa vyama vya siasa ambao bado haujapitishwa, ni kutoheshimu na kuyaamini maamuzi ya Bunge. Wabunge ndio wenye haki ya kuukubali au kuukataa mswada unaopelekwa Bungeni kwa kura.
Sasa je! ni sheria ipi inayoruhushu mtu asiye mbunge (Umoja wa vyama vya siasa unaoundwa na baadhi ya wajumbe wasio wabunge) kupinga au kukubali mswada Bungeni. Hashim Rungwe, Fatma Karume, Lowasa, Maalim Seif hao wote si wabunge wapange mswada ukubaliwe au ukataliwe! Kwanini wasingoje Bungeni waupinge kama wanavyotaka kufanya?
MIHIMILI IHESHIMIWE!
Wao ndio wadau wa siasa wanaojua goli liliko. Tulieni wanyoane wenyewe kwenye siasaNI KWELI KABISA, HAWA JAMAA SIJUI WANAWAZA NINI
Wanalalama mpaka wanapoteza uwezo wa kawaida kabisa wa kufanya tafakuri.HAWANA TOFAUTI NA MTU ANAYEPENDA KULA LAKINI HATAKI KUINGIA JIKONI KUPIKA
kuna Bunge Tanzania??Katika moja ya vitu ambavyo vyama vya upinzani vimekuwa vikipigia kelele mara kwa mara ni kuwa mihimili iheshimiane na kutekeleza majukumu yake. Lakini kufuatia kufunguliwa kwa hati ya dharura mahakamani kudai kuondolewa kwa mswada wa vyama vya siasa ambao bado haujapitishwa, ni kutoheshimu na kuyaamini maamuzi ya Bunge. Wabunge ndio wenye haki ya kuukubali au kuukataa mswada unaopelekwa Bungeni kwa kura.
Sasa je! ni sheria ipi inayoruhushu mtu asiye mbunge (Umoja wa vyama vya siasa unaoundwa na baadhi ya wajumbe wasio wabunge) kupinga au kukubali mswada Bungeni. Hashim Rungwe, Fatma Karume, Lowasa, Maalim Seif hao wote si wabunge wapange mswada ukubaliwe au ukataliwe! Kwanini wasingoje Bungeni waupinge kama wanavyotaka kufanya?
MIHIMILI IHESHIMIWE!
#ZittoKABWE: Mwaka 2017-2018 alisema "Serikali haileti miswaada ili ijadiliwe bungeni"...!!
#Huyo huyo Zitto Kabwe mwaka huu 2019 amesema kwamba, wanakwenda mahakamani kuizuia serikali isilepeleke "mswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa nchini" ili ukajadiliwe bungeni...!!
#Ukiambiwa jambo na mwanasiasa wa upinzani hapa Tanzania,,, changanya na za kwako...!!View attachment 985484
Unamaanisha wabunge ni kama mainzi ?
Bunge ni rubber stamp ya serikali.
Mantiki ya thread yako ni kuwa wewe upo constant kwa kila kitu bila kujali context. Hata umri wako unabaki vile vile miaka nenda miaka rudi, si ndio?
Ujumbe mwingine unaotaka kutupa hapa ni kuwa wanasiasa wasio wa upinzani (read ccm) ndio wanaaminika. Yaani ccm hii hii ambayo mwenyekiti wake anasema alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi 5,000, ambae anatuambia ATCL imepata faida ya 28 billion wakati hata hesabu zake hazijatengenezwa na kukaguliwa, anaetuambia tuna pesa za kutosha na hatuhitaji mikopo lakini akiwasifia Wachina kwa kutoa mikopp isiyo na masharti?
I rest my case!
Rudi shule ukajifunze kuwa sio wote wana akili fupi kama wewe.#ZittoKABWE: Mwaka 2017-2018 alisema "Serikali haileti miswaada ili ijadiliwe bungeni"...!!
#Huyo huyo Zitto Kabwe mwaka huu 2019 amesema kwamba, wanakwenda mahakamani kuizuia serikali isilepeleke "mswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa nchini" ili ukajadiliwe bungeni...!!
#Ukiambiwa jambo na mwanasiasa wa upinzani hapa Tanzania,,, changanya na za kwako...!!View attachment 985484
huu ugoro utakula peke yako.Zitto kajiingiza kwenye siasa kupiga deals na ndiyo maana hana msimamo.
#ZittoKABWE: Mwaka 2017-2018 alisema "Serikali haileti miswaada ili ijadiliwe bungeni"...!!
#Huyo huyo Zitto Kabwe mwaka huu 2019 amesema kwamba, wanakwenda mahakamani kuizuia serikali isilepeleke "mswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa nchini" ili ukajadiliwe bungeni...!!
#Ukiambiwa jambo na mwanasiasa wa upinzani hapa Tanzania,,, changanya na za kwako...!!View attachment 985484