Umoja wa vyama 10 vya upinzani nchini Tanzania vimefungua kesi Mahakamani Kuu kupinga muswada wa sheria ya vyama vya siasa

Umoja wa vyama 10 vya upinzani nchini Tanzania vimefungua kesi Mahakamani Kuu kupinga muswada wa sheria ya vyama vya siasa

Kwahiyo nawewe hapa unajiita umepandisha uzi?
#ZittoKABWE: Mwaka 2017-2018 alisema "Serikali haileti miswaada ili ijadiliwe bungeni"...!!

#Huyo huyo Zitto Kabwe mwaka huu 2019 amesema kwamba, wanakwenda mahakamani kuizuia serikali isilepeleke "mswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa nchini" ili ukajadiliwe bungeni...!!

#Ukiambiwa jambo na mwanasiasa wa upinzani hapa Tanzania,,, changanya na za kwako...!!View attachment 985484

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi siasa ukiendekeza utalazwa wazi au njaa kama hujajisajili
Kwanini
Ni biashara ya mdomo kujipatia vipato na maendeleo kwa mgongo wakusema eti wanatetea wananchi wanyonge ndo maana kauli zao siku zote hubadilikabadilika pia walishatuambia tusiwaamini.... inatosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika moja ya vitu ambavyo vyama vya upinzani vimekuwa vikipigia kelele mara kwa mara ni kuwa mihimili iheshimiane na kutekeleza majukumu yake. Lakini kufuatia kufunguliwa kwa hati ya dharura mahakamani kudai kuondolewa kwa mswada wa vyama vya siasa ambao bado haujapitishwa, ni kutoheshimu na kuyaamini maamuzi ya Bunge. Wabunge ndio wenye haki ya kuukubali au kuukataa mswada unaopelekwa Bungeni kwa kura.
Sasa je! ni sheria ipi inayoruhushu mtu asiye mbunge (Umoja wa vyama vya siasa unaoundwa na baadhi ya wajumbe wasio wabunge) kupinga au kukubali mswada Bungeni. Hashim Rungwe, Fatma Karume, Lowasa, Maalim Seif hao wote si wabunge wapange mswada ukubaliwe au ukataliwe! Kwanini wasingoje Bungeni waupinge kama wanavyotaka kufanya?
MIHIMILI IHESHIMIWE!
Inaonekana na wewe unatumika kuleta huu uzi hapa. Bunge lenyewe la CCM,lenye wabunge wengi wa CCM,ushindi wa kura nyingi za ndioooooo za CCM…a you ok!? Nenda kaungane tu na mus..ba kutafuta vyeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika moja ya vitu ambavyo vyama vya upinzani vimekuwa vikipigia kelele mara kwa mara ni kuwa mihimili iheshimiane na kutekeleza majukumu yake. Lakini kufuatia kufunguliwa kwa hati ya dharura mahakamani kudai kuondolewa kwa mswada wa vyama vya siasa ambao bado haujapitishwa, ni kutoheshimu na kuyaamini maamuzi ya Bunge. Wabunge ndio wenye haki ya kuukubali au kuukataa mswada unaopelekwa Bungeni kwa kura.
Sasa je! ni sheria ipi inayoruhushu mtu asiye mbunge (Umoja wa vyama vya siasa unaoundwa na baadhi ya wajumbe wasio wabunge) kupinga au kukubali mswada Bungeni. Hashim Rungwe, Fatma Karume, Lowasa, Maalim Seif hao wote si wabunge wapange mswada ukubaliwe au ukataliwe! Kwanini wasingoje Bungeni waupinge kama wanavyotaka kufanya?
MIHIMILI IHESHIMIWE!
kuna Bunge Tanzania??

Rudi shule.
 
#ZittoKABWE: Mwaka 2017-2018 alisema "Serikali haileti miswaada ili ijadiliwe bungeni"...!!

#Huyo huyo Zitto Kabwe mwaka huu 2019 amesema kwamba, wanakwenda mahakamani kuizuia serikali isilepeleke "mswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa nchini" ili ukajadiliwe bungeni...!!

#Ukiambiwa jambo na mwanasiasa wa upinzani hapa Tanzania,,, changanya na za kwako...!!View attachment 985484

Mantiki ya thread yako ni kuwa wewe upo constant kwa kila kitu bila kujali context. Hata umri wako unabaki vile vile miaka nenda miaka rudi, si ndio?
Ujumbe mwingine unaotaka kutupa hapa ni kuwa wanasiasa wasio wa upinzani (read ccm) ndio wanaaminika. Yaani ccm hii hii ambayo mwenyekiti wake anasema alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi 5,000, ambae anatuambia ATCL imepata faida ya 28 billion wakati hata hesabu zake hazijatengenezwa na kukaguliwa, anaetuambia tuna pesa za kutosha na hatuhitaji mikopo lakini akiwasifia Wachina kwa kutoa mikopo isiyo na masharti?
I rest my case!
 
Bunge ni rubber stamp ya serikali.
qRI8Gs7.gif
 
Asante sana kwa bonge la post
Mantiki ya thread yako ni kuwa wewe upo constant kwa kila kitu bila kujali context. Hata umri wako unabaki vile vile miaka nenda miaka rudi, si ndio?
Ujumbe mwingine unaotaka kutupa hapa ni kuwa wanasiasa wasio wa upinzani (read ccm) ndio wanaaminika. Yaani ccm hii hii ambayo mwenyekiti wake anasema alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi 5,000, ambae anatuambia ATCL imepata faida ya 28 billion wakati hata hesabu zake hazijatengenezwa na kukaguliwa, anaetuambia tuna pesa za kutosha na hatuhitaji mikopo lakini akiwasifia Wachina kwa kutoa mikopp isiyo na masharti?
I rest my case!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#ZittoKABWE: Mwaka 2017-2018 alisema "Serikali haileti miswaada ili ijadiliwe bungeni"...!!

#Huyo huyo Zitto Kabwe mwaka huu 2019 amesema kwamba, wanakwenda mahakamani kuizuia serikali isilepeleke "mswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa nchini" ili ukajadiliwe bungeni...!!

#Ukiambiwa jambo na mwanasiasa wa upinzani hapa Tanzania,,, changanya na za kwako...!!View attachment 985484
Rudi shule ukajifunze kuwa sio wote wana akili fupi kama wewe.
 
#ZittoKABWE: Mwaka 2017-2018 alisema "Serikali haileti miswaada ili ijadiliwe bungeni"...!!

#Huyo huyo Zitto Kabwe mwaka huu 2019 amesema kwamba, wanakwenda mahakamani kuizuia serikali isilepeleke "mswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa nchini" ili ukajadiliwe bungeni...!!

#Ukiambiwa jambo na mwanasiasa wa upinzani hapa Tanzania,,, changanya na za kwako...!!View attachment 985484

Huo mkataba aliotaka upelekwe bungeni ukajadiliwe ulipelekwa? Kila siku watu wanataka mikataba ya madini ipelekwe bungeni. Hilo limefanyika? Mbona mnapeleka hiyo sheria ya tabia za rais ikajadiliwe kama mnaamini kwenye kupeleka mambo yakajadiliwe bungeni?
 
Back
Top Bottom