kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Hii inapita hadi kwenye maji ni mwendo wa wese tuDaraja limesombwa na maji huko mbele, Badala ya kukanyaga breki, unashauri akanyagie mafutaπ
Na wavimbe wapasukeAnakanyaga upumbavu wake tu. Inasikitisha kwa CCM iliyojaa vijana wasomi na wenye adabu kuendelea kumkumbatia huyu mpuuzi mmoja kila siku.
Huyo Makonda hawezi kubadilika, ajabu anakumbatiwa na hana impact yoyote. Huo msafara wote ungewafikirisha sana wateuzi wake, hauna tija yoyoteCCM hailei ujinga. Kama CCM yote haimtaki, ni nani huyo anayembeba na kwa nini? Mtu anayetembea anatukana kila mtu, kila mahali...
Na wewe una tatizo mahala, kiongozi mzuri na mwenye hekima anapaswa kuwa makini sana na kauli zakeMi sijaona kosa kusema hivyo.Angesema mimi na mke mzuri zaidi yako Sawa ila hapo sijaona kosa.
Nakala kwa Pengo na MalasusaTuombe kwa Mungu gharama za freight baharini zishuke na sio kupoteza muda kumuombea mtu mpumbavu.
Shida iko wap kusema ana mke mzuri?Na wewe una tatizo mahala, kiongozi mzuri na mwenye hekima anapaswa kuwa makini sana na kauli zake
Nje ya mada, nini ilikuwa hatima ya huyu bwana kushambuliwa hivi? Natamani sana kujua
Duh basi tuwaachie nafasi zote za uongozi nchi nzima kisha sisi wanaume tukae pembeni ili tuone uwezo waoMwenyekiti wa UWT Taifa mh Mary Chatanda amemwambia Makamu mwenyekiti wa CCM komredi Kinana kwamba Wanawake Wana uwezo mkubwa wa Kuongoza kuliko Wanaume hivyo wasidharauliwe Waheshimiwe
Chatanda amesema amemweleza Hata Waziri mkuu kwamba yeye binafsi hatapenda kuona Wanawake wanakosewa Heshima
Mlale Unono ππ
Kwako Lucas ukiwa Longidoπ
Kwenye picha simuoni
Wivu tu, Makonda ana mke mzuri kuliko wanawake wote Tanzania akiwemo aliyemteua, hiyo salamu amewatumia Makonda.Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi...
Kama haafiki ajiuzulu nafasi yake. hio ndio njia sahihiMwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi...
Uzuri wa mke wake una uhusiano gani na huo mkutano. Mwanaume kamili huwezi kuwa na ujinga wa kusema mke wangu mzuri hata kama ni kwenye vijiwe vya kahawa tu.Shida iko wap kusema ana mke mzuri?
Rais kwani njugu kila mtu ananunua?Hawa watakuja kulia na kusaga meno Makonda akiwa Rais. Jiandaeni.
Mary Chatanda atakuwa ametumwa atoe tamko kama hilo πMwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi...