Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

Bashite awe Rais! Kama kosa lishatokea na tukajifunza kipindi cha Jiwe, Sukuma gang hawatakuja tena kupata nafasi ya Urais
 
Luka 13:32 - Akawaambia , "Nendeni mkamwambie yule mbweha , Tazama leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa , siku ya tatu nakamilisha ."

Yesu anamfananisha kiongozi mbinafsi, mdanganyifu na mwenye tabia ya uharibifu wa mali za umma na mbweha . Ingekuwa ni nyakati zetu, watu ambao hawana akili wangenong'ona na kusema Yesu amemdhalilisha kiongozi wa aina hii .
 
Hahahahah eti mimi sioni, sasa kwani wewe lini ulikuwa unaona, au nipe tofauti ya wewe na Bashite
 
Hii kweli ina chawa wengi sana, eti na wewe ni chawa, duh
 
Ulikuwa na hoja nzuri sana hapo mwanzo ila umemaliza vibaya sana kama Bashite mwenyewe
 
Mimi bila kupepesa macho nasema hivi lawama zote kwa mamlaka ya uteuzi. Makonda kauli yake ya kwanza alipofika Arusha alisema 'kuna watu wanasema Makonda amejifunza,sasa nawaambia kuwa sijajifunza kitu mimi ni yule yule.' Mwisho wa kunukuu.
 
Ulimi hutamka what the brain decides. He has low IQ for me.
 
Hawa UWT nao wajirekebishe waache kukurupuka
 
Siku Mhe. Gekul alipopata tuhuma tu ambazo hazijathibitishwa mpaka leo alivuliwa Uwaziri. Mbona hii ya Makonda ni special. Kwa nini Mamlaka ya uteuzi haujamvua Ukuu wa Mkoa?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…