Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

Mary Chatanda atakuwa ametumwa atoe tamko kama hilo 👁

Sisi tuliosomea Cuba na USSR tumeshafahamu whats cooking 👁😂

Individually Mary Chatanda asingekuwa na courage hiyo !

After all mtu kusema mimi nina mke tena mzuri sioni kama ni udhalilishaji 👁🙄😷
Ukiwa na upeo mdogo wa kuchambua mambo huwezi kuona!
 
Makonda ni mwehu.

Kwenye hicho kikao, yeye kama kiongozi wa mkoa, habari ya mke wake kuwa mzuri au mbaya ilikuwa na ubusiano gani? Nadhani ana uwezo mdogo sana wa akili. Hajui aseme nini, wapi, wakati gani na kwa namna gani. Yeye muda wote ni uropokaji.
Kabisa. Uwezo ni mdogo. Huwa anapitiliza sana.
 
CCM hailei ujinga. Kama CCM yote haimtaki, ni nani huyo anayembeba na kwa nini? Mtu anayetembea anatukana kila mtu, kila mahali.

Hatujaambiwa hayo magari nani anayajaza mafuta, na nani analipa posho ya safari.. Serikali ina utaratibu, kwa nini mtumishi wa umma anaenda nje ya utaratibu na serikali imekaa kama haioni? Haimuulizi
View attachment 2999265
Nongwa...... ujue tatizo la makonda ni creative na genius.........hivi ndivyo vinavyomgharimu hata na yeye mwenyewe ......ona huyu popo ameanza kuhoji eti mafuta ya magari ya msafara anayatoa wapi kana kwamba yeye ni dada wa raisi .....so anahoji lwa mdogo wake........NONGWA.......tumuache brazamen makonda afanye kazi .......maana hata ile ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar aliitendea haki mle ndani kama hotel ......huyu jamaa yuko vizuri.........
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.

Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana

"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.

Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.

Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
Makonda sasa hivi atakuwa historia.
 
Merry chatanda amepiga kelele kumhusu makonda ,lakini pia chini chini mahali anakopita huyu kiongozi watu wanapiga kelele ambazo hazisikiki, sauti zinazomsifia ni zile ambazo zimejaa hofu. Kuogopwa! Labda anawaongoza watu kwa kuwatisha!

Moyoni hata waliomteua hawajui chakufanya! Anaweza akafanya vizuri mambo matano akaharibu mambo 20! Akipewa maiki kuhutubia watu wanashika roho mkononi kwa sababu anaweza kuongea lolote wakati wowote!

Huyu mtu ana ulemavu wa ulimi tusimhukumu ,tumuombee mungu amponye ,popote ulipo ndugu Paulo christian makonda pokea uponyaji wa ulimi katika jina la YESU kristo ,Amina
Haha mpaka unamuombea maanake unakili kuwa mdomo wake si msafi na Biblia inasema kuwa kimtokacho mtu mdomoni ndicho kilicho moyoni mwake. Nilidhani unashauri atenguliwe kwa madhaifu yake maana nchi inahitaji viongozi walio very smart na tunaona hata dunia ya kwanza ikijulikana na jumuiya tu kiongozi alikosea sehemu lazima ajiudhulu kulinda heshima yake, this is quite different from ours.. Sasa wewe unamponya kwa Jina la Yesu ili aendelee mkuu na sio apishe walio smart?
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.

Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana

"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.

Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.

Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
Kuna shida inaanza kumea kwa kasi ya ajabu nchi hii! Enyi kina mama zetu wachache mlio Kalia Viti hivyo, linapokuja suala la uwajibikaji na kuwajibishwaji kwa watumishi wa umma mpunguze mihemuko!
Awe mwanamume au mwanamke akivunja miiko ya kiutumishi awajibishwe! Makaripio ya kwenye mafaili hayatuokoi zaidi yanatupa aibu ya nchi hivyo muhusika akiipata aibu hiyo binafsi nadhani inaamsha mishipa ya aibu kwa wengine na kuwa na hofu ya MUNGU!
Mbona wa mama zetu wajawazito wakipigwa makofi au kutukanwa huko leba na wanawake wenzao hamtoi matamko kama haya!!? Mbona hamtoi matamko ya kupinga rushwa hadharani, mbona hamsimami kupiga kelele barabara zikiwa mbovu waume na watoto wenu tukiwa tunapata tabu huko barabarani, mbona siwasikii mkiwasapoti hata mawaziri huko vijijini kuhusu hata kilimo, michezo na mambo lukuki ya kiubunifu!? Labda mimi Ndio sioni au sisikii!!?
Hebu muungeni mkono mama yetu Raisi wetu mama samia kwa hoja ni vitendo chanya!
Mama zetu mna akili, mna utu sisi kama watoto wenu tunataka muwe taa isiyozimika na sio upepo unaopuliza kwa nguvu zote kuizima taa hiyo!
Awe mwanamume awe mwanamke woote tunahitaji mfumo mpya wa kuwajibishwa serikalini maana mfumo uliopo unakumbatia ufisadi inaolikosesha taifa heshima!
Ni mtazamo!
 
Mwenyekiti wa UWT Taifa mh Mary Chatanda amemwambia Makamu mwenyekiti wa CCM komredi Kinana kwamba Wanawake Wana uwezo mkubwa wa Kuongoza kuliko Wanaume hivyo wasidharauliwe Waheshimiwe

Chatanda amesema amemweleza Hata Waziri mkuu kwamba yeye binafsi hatapenda kuona Wanawake wanakosewa Heshima

Mlale Unono 😄😄

Kwako Lucas ukiwa Longido😂
Siasa chafu za kitoto Kwa Nini asingemwbia Makonda mwenyewe direct au hata kumwandikia Kwa Nini amseme hadharani ?
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.

Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana

"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.

Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.

Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
Safi sana UWT huyo mjivuni mwizi wa vyeti lazima ashughulikiwe
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.

Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana

"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.

Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.

Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
CHAWA wanasema UWT inatumika , madui wa MAKONDA, sasa kwanini ana maadui na si watu wengine?
 
Mi sijaona kosa kusema hivyo.Angesema mimi na mke mzuri zaidi yako Sawa ila hapo sijaona kosa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mtu kama wewe unadhani unaweza kuona kosa hapo, au hata wewe hujijui?
 
Back
Top Bottom