Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Mi nakumbuka nimetahiriwa nikiwa darasa la kwanza miaka 8,nlipelekwa porini na wenzangu ilipofika zamu yangu nlipigwa boooonge la mtama nikaenda chini ile kuinuka mkono wa sweta ushakatwa tena bila ganzi dadeki,ila nna kibamia asee ikiwa imelala ,ikisimama inaumuka ka mkate wa supa lofu, so suala la kusema eti ukiwahi unakua na dololo ndogo ni maneno tu ya wabongo kila MTU kaumbwa na dushelele lake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo uliugulia maumivu ya mtama na ya kukatwa bila ganzi
 
Mimi nafikiri 14 inakua poa maana mtoto anakua ameshajenga psychology vizuri kuwa ,anajiona hajakamilika hususani anapokutana na wenzie waliotahiriwa,sisi tulimwomba babu yetu wenyewe na tulifurahi ,tukawa huru kwenye michezo kama kuogelea,n.k
Uko sahihi mkuu.

Hata sisi tulikuwa tunawashinikiza wazee watupeleke kutahiriwa
 
Duh! Pole sana na hongera kwa kuyahimili hayo maumivu. Kwahiyo ni kweli kuwa ukitahiriwa mkubwa mkuyenge unakuwa mkubwa?[emoji848]
Hilo si kweli maana kuna wapo waliotahiriwa wakiwa wakubwa na walikuwa na vibamia, walibaki na vibamia vyao tu.

Kutahiriwa ukiwa na umri mkubwa kuna faida za kufunzwa ujasiri wa mambo maana hicho kitendo cha maumivu sio lelemama.

Kuna mzee aliwahi kusema, endapo tungekuwa tunatahiriwa mara mbili, angempiga mtu kwa mshale maana hataki kuumia tena kwa kutahiriwa
 
Kuna msukuma mmoja, wakati mimi nikiwa O-level yeye alikuwa A-level.

Alikuwa hajatahiriwa, shule ya Boarding tulikuwa tunashare mabafu ambapo tunaoga watu wengi kwa pamoja.

Yeye alikuwa anaoga usiku tu kisa anaogopa maana hajatahiriwa. Alikuwa anapata tabu sana kutime hiyo mida ili akaoge maana watu walipogundua wakawa wanamlia timing ili wamuone[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] watu wabaya!
Kuna jamaa aliniambia alienda kutahiriwa akiwa kidato cha sita baada ya kuchoshwa na kero za wenzake bwenini
 
Hilo si kweli maana kuna wapo waliotahiriwa wakiwa wakubwa na walikuwa na vibamia, walibaki na vibamia vyao tu.

Kutahiriwa ukiwa na umri mkubwa kuna faida za kufunzwa ujasiri wa mambo maana hicho kitendo cha maumivu sio lelemama.

Kuna mzee aliwahi kusema, endapo tungekuwa tunatahiriwa mara mbili, angempiga mtu kwa mshale maana hataki kuumia tena kwa kutahiriwa
[emoji23][emoji23][emoji23] nyie wanaume punguzeni woga wa maumivu, mbona wanawake hawaogopi kuzaa?

Kumbe mwanangu nitamtahiri akiwa mkubwa ili afunzwe ujasiri
 
[emoji23][emoji23][emoji23] watu wabaya!
Kuna jamaa aliniambia alienda kutahiriwa akiwa kidato cha sita baada ya kuchoshwa na kero za wenzake bwenini
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Wanafunzi ni viboko wa kuchamba sana hasa wanaoishi mabwenini.

O-level na A-level nilitaniwa sana japo utani ulikuwa ni wa kunipachika majina ya utani kulingana na misimamo kwenye kupiga msuli.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Wanafunzi ni viboko wa kuchamba sana hasa wanaoishi mabwenini.

O-level na A-level nilitaniwa sana japo utani ulikuwa ni wa kunipachika majina ya utani kulingana na misimamo kwenye kupiga msuli.
Na ukiwasikiliza unaweza ukajipotezea mwelekeo wa maisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nyie wanaume punguzeni woga wa maumivu, mbona wanawake hawaogopi kuzaa?

Kumbe mwanangu nitamtahiri akiwa mkubwa ili afunzwe ujasiri
Maumivu ya kuzaa ni ya muda mfupi tu halafu yanaisha.

Sisi kuuguza maumivu ya kutahiriwa kwa uchache ni wiki 2.

Suala la kutahiri mtoto wako ni maamuzi yako kulingana na mazingira unayoishi.

Mimi kama nitaishi kijijini, nitamtahiri akiwa mkubwa maana ndio mazingira yanaruhusu.

Lakini kama nitakuwa mjini, nitamtahiri mapema akiwa bado mdogo.

NB: kutahiri kunawezekana kwa muda wowote na umri wowote kwa mazingira yoyote
 
Maumivu ya kuzaa ni ha muda mfupi tu halafu yanaisha.

Sisi kuuguza maumivu ya kutahiriwa kwa uchache ni wiki 2.

Suala la kutahiri mtoto wako ni maamuzi yako kulingana na mazingira unayoishi.

Mimi kama nitaishi kijijini, nitamtahiri akiwa mkubwa maana ndio mazingira yanaruhusu.

Lakini kama nitakuwa mjini, nitamtahiri mapema akiwa bado mdogo.

NB: kutahiri kunawezekana kwa muda wowote na umri wowote kwa mazingira yoyote
Asante kwa ushauri, nitaufanyia kazi
 
Kiutafiti kutoka kwa malaya mkongwe alinambia wasukuma huwa na uume mkubwa. Nkapata majibu kuwa kumtahiri mtoto akiwa mdogo hufanya uume wake kuwa mdogo na pia ni rahisi kukatwa mishipa midogo midogo ambayo kwa kipindi hiko ni vigumu daktari kuiona hivo akitahiriwa akiwa mkubwa kwanza uume unakuwa umekuwa vizuri na ni ngumu kwa mishipa midogo midogo kukatwa na madaktari kwa sababu wasukuma hawatairi udogoni ndo mana wakawa na uume mkubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Raha ya kuchepuka kwa malaya wazoefu unapata elimu
 
Kiutafiti kutoka kwa malaya mkongwe alinambia wasukuma huwa na uume mkubwa. Nkapata majibu kuwa kumtahiri mtoto akiwa mdogo hufanya uume wake kuwa mdogo na pia ni rahisi kukatwa mishipa midogo midogo ambayo kwa kipindi hiko ni vigumu daktari kuiona hivo akitahiriwa akiwa mkubwa kwanza uume unakuwa umekuwa vizuri na ni ngumu kwa mishipa midogo midogo kukatwa na madaktari kwa sababu wasukuma hawatairi udogoni ndo mana wakawa na uume mkubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Raha ya kuchepuka kwa malaya wazoefu unapata elimu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom