Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Ina maana ulijipeleka mwenyewe kutahiriwa kwa siri...?

Endapo usingefanya hivyo, wazazi wasingekupeleka kutahiriwa?

Ulivaa nguo za aina gani baada ya kutahiriwa kiasi kwamba usijulikane mapema, sisi mtu ukishatahiriwa unabaki kuvaa nguo moja tu(shati au t-shirt) halafu unajifunga shuka rubega kama wamasai. Hii inasaidia usitoneshe kidonda na usisababishe joto ambalo ni hatari kwa kidonda.
Sawasawa kabisa mkuu mi pia nimemuuliza swali hilo hilo alijipereka mwenyeww bila kuwataarifu wazazi au ndugu...
 
Mama aliniambia nilitailiwa nikiwa na siku 20 na hali ya huku chini ni inch 6.5 urefu na upana inch 5. Sometimes najisemeaga kama ningetailiwa mkubwa ningekuwa Mandingo na huwa naitaka sana kuwa na hongo la haja. Ila hata hii fresh tu maisha yanaenda.

Kuhusu kibamia: mimi sio mtaalamu sana ila nachoamini kibamia ni kurithi. Ni kama unavyoona watu wengine ni warefu na wengine wafupi. Ukifatilia utakuta mzazi mmoja au shangazi au mjomba ni mrefu/mfupi.

Kama kuna sababu za kisayansi kuhusu kutailiwa na mapena na ukibamia ni vyema mkatutoa tongotongo.
Kweli kabisa wataalam wa haya mambo watujuze
 
Unapaka na tumbaku mbichi kidonda kiwahi kupona. Hapo badala ya ganzi mbapelekwa mtoni mnaoga maji ya baridiiii, hiyo ndio ganzi inayofuatiwa na kisu kikali mno huku unatakiwa uonyeshe ukakamavu usilie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka 12 na sikupata maumivu yoyote zaidi ya nikiamka asubuhi kutokana na wanaume marijali lazima ukiamka asubuhi vyombo viende mnara ndo nilikuwa napata maumivu.

Mwanangu nimemtahiri akiwa na miezi Tisa.
Kwann yy umtahir akiwa na miez 6 tu wakat ww ilitahiti ukiwa na miaka 12??
 
Kawaida yetu tunatahiri baada ya kubalehe above 14 bila ganzi, na unasimama mwenyewe ukiwa umeshika sime na mkuki. Na wengi wetu tuna mikuyenge ya kutosha ila na vibamia wapo wengi tu, hivyo kutahiri mapema au kuchelewa vina mchango kidogo kwenye suala la ukuaji wa uume
Sa wa
 
Yes nilijipeleka mwenyewe, wale wanataka mpaka uwe na 18, nakumbuka nilivaa kaptula ya Jezi so ilikuwa laini nilivaa kwenda na kurudi na wakati wote wa kuuguza, nilienda natembea na nikarudi natembea haikuwa mbali ni kama km 2 ganzi ilianza kukata nafika nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nilikua na dogo langu nikiwa nishamaliza std 7,dogo akiwa std 6,docta alikuja homu babu akampa maelekezo,akafanya kazi yake,babu akatupatia chupa kila mtu unaiweka chini ya uvungu dushe likiamka unaiweka ile chupa tumboni kwasababu ya ubaridi mpini unalegea,au unapiga kwenye kiwiko cha mguu hii techniqe ilitusaidia maana tulikua tunakula vyakula vinavyopelekea iyo hali.
Vyakul gani hivo mkuu taja aisee kwa faida ya wengine
 
Kuna msukuma mmoja, wakati mimi nikiwa O-level yeye alikuwa A-level.

Alikuwa hajatahiriwa, shule ya Boarding tulikuwa tunashare mabafu ambapo tunaoga watu wengi kwa pamoja.

Yeye alikuwa anaoga usiku tu kisa anaogopa maana hajatahiriwa. Alikuwa anapata tabu sana kutime hiyo mida ili akaoge maana watu walipogundua wakawa wanamlia timing ili wamuone[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hata kwetu kijjn tulikuwa tunawacheka tukiwa mtoni kuoga tunawaambia wakaogee chini na sio. Juu wasije kichafua maji basi hii ilikuwa inawafanha wengi wakatahiriwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata kwetu kijjn tulikuwa tunawacheka tukiwa mtoni kuoga tunawaambia wakaogee chini na sio. Juu wasije kichafua maji basi hii ilikuwa inawafanha wengi wakatahiriwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Habar za leo wana jukwaa baada ya salaam najielekeza moja kwa moja kweny mada huska nimeileta hii kwenu ili kutujuza wazazi wengi hatujui ni mda au umri gani sahihi kwa kumtahiri mtoto wa kiume pindi anapozaliwa maana kuna wengine wanasema kuwa akitahiriwa mapema sana akiwa mchanga kama ilivokuwa kwa Yesu siku 8 baada ya kuzaliwa kwamba anakuwa na uume mdogo eti anakuwa haujakomaa uume na hivo inapowahi kimtahiri unafanya uume wake usikue tena na kurefuka na kunenepa vizuri .

Pia kuna wengine wanasema kuwa kumtahiri akiwa mkubwa labda baada ya kubarehe anakuwa anapata maumivu makali na makubwa hivo mtoto anumia sana na kuona kama wazazi walikosea wangemutahiri mapema ili aepuke yale maumivu ya kutahiri ukubwani japo inaonekana kwamba ndo vizuri maana uume wake unakuwa umesha kua mkubwa na haitamuadhiri..
Sasa kutokana huuu mkanganyiko nikaona nilete huu uzi ili kuondoa hii sitofahamu iliyoko ktk jamii yetu ya kitanzania hoja na swala la. Msingi ni upi mda au umri sahihi wa kumtahiri mtoto ili aje awe maumbile mazuri aliyopewa au kukusudia na mwenyezi Mungu? "je ni miaka 1 hadi 5 au 5 hadi 10 au 10 hadi 15 au 15 hadi 20???? Ili aje awe mwnaume rijari na kamili awe na nguvu za kiume na uume mbashara.

Wewe mwenyewe ulitahiriwa ukiwa na miaka mingap je mwanao alikuwa na umri gani ..

Mimi nilieleta hii mada nmetahirwa nikiwa mkubwa wa miaka 16

Karibuni sana watalaam mtuelimiishe.. Samahan staweka picha hapa aisee.
Kisheria ni wiki,sasa kama una hofia size ya uume wake kuwa mdogo basi muache atajitahiri mwenyewe akikua
Kwanza hakuna evidence ya uume kuwa mdogo kwa kutahiriwa,mazoezi na Aina ya vyakula anavyokula
 
Back
Top Bottom