Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Ina maana ulijipeleka mwenyewe kutahiriwa kwa siri...?

Endapo usingefanya hivyo, wazazi wasingekupeleka kutahiriwa?

Ulivaa nguo za aina gani baada ya kutahiriwa kiasi kwamba usijulikane mapema, sisi mtu ukishatahiriwa unabaki kuvaa nguo moja tu(shati au t-shirt) halafu unajifunga shuka rubega kama wamasai. Hii inasaidia usitoneshe kidonda na usisababishe joto ambalo ni hatari kwa kidonda.
Mimi siku hiyo hiyo nilipiga jeans,nikatembea mpaka home,na ikawa hivyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna comments za ajabu humu mpaka zinakufanya uwe stressfree,ila kuwahi au kuchelewa ni maneno tu ya kijiweni kuna wengine tumetahiriwa hatujitambui but mashaAllah mashine c za kitoto zinapoinuka pengine na afya ya mtoto toka anakua na mapitio yake kiujumla yanaweza kuchangia ukuaji wa viungo vyake.
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa mkubwa kipindi hicho mimi nilikuwa na miaka 9, alipopona kidonda baada ya kutahiriwa akaenda kutest kwenye papuchi ya ng'ombe kama mkuyenge umeimarika kwa kazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Daah! Tunakula nyama kumbe ng'ombe wenyewe wanapigwa magoli na binadam
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna comments za ajabu humu mpaka zinakufanya uwe stressfree,ila kuwahi au kuchelewa ni maneno tu ya kijiweni kuna wengine tumetahiriwa hatujitambui but mashaAllah mashine c za kitoto zinapoinuka pengine na afya ya mtoto toka anakua na mapitio yake kiujumla yanaweza kuchangia ukuaji wa viungo vyake.
Sawa mkuu nakuelewa sana
 
Back
Top Bottom