Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Halafu wanafunzi wanoko sana, wakijua kitu watakutania kila aina ya utani.

Hapo hadi kuzungumzia mademu watakunyima raha sana maana watakuambia wewe mkono wa sweta utamfanya nini demu
Huhuhuuu uuwiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi nafikiri 14 inakua poa maana mtoto anakua ameshajenga psychology vizuri kuwa ,anajiona hajakamilika hususani anapokutana na wenzie waliotahiriwa,sisi tulimwomba babu yetu wenyewe na tulifurahi ,tukawa huru kwenye michezo kama kuogelea,n.k
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Miaka 18 ni mingi sana.

Sisi max ilikuwa ni miaka 16 ila zamani ndio ilikuwa inafika hiyo 18.

Ila kwa sasa kizazi hiki walio wengi wanatahiriwa wakiwa na miaka 10 hadi 12.

Sisi hutakiwa kuvaa nguo ya aina yoyote isipokuwa shati au t-shirt tu.

Unapewa shuka, tena kanga nyepesi unajifunga. Kwa siku za mwanzo unakuwa unashinda ndani tu ili usipigwe na jua maana utaathiri kidonda na joto. Ukianza kupona ndio unaruhusiwa kutoka nje na unaanza kufanya kazi hasa kuchunga ng'ombe
Sawa asante kwa iyo ww unashauri mtoto awe amekua angalau miaka 14 kuendelea
 
Duh! Pole sana na hongera kwa kuyahimili hayo maumivu. Kwahiyo ni kweli kuwa ukitahiriwa mkubwa mkuyenge unakuwa mkubwa?[emoji848]
Hasa hili ndo ilikuwa lengo la kuanzisha uzi huu ila nashangaa watu wanakwepa sana kujibu hilo swali
 
Maumivu ya kuzaa ni ya muda mfupi tu halafu yanaisha.

Sisi kuuguza maumivu ya kutahiriwa kwa uchache ni wiki 2.

Suala la kutahiri mtoto wako ni maamuzi yako kulingana na mazingira unayoishi.

Mimi kama nitaishi kijijini, nitamtahiri akiwa mkubwa maana ndio mazingira yanaruhusu.

Lakini kama nitakuwa mjini, nitamtahiri mapema akiwa bado mdogo.

NB: kutahiri kunawezekana kwa muda wowote na umri wowote kwa mazingira yoyote
Mimi nitafanya kulingana na hizo option 2 hapo juu
Sawa asante kwa iyo ww unashauri mtoto awe amekua angalau miaka 14 kuendelea
 
Mi hata kupelekwa kuandikishwa shule darasa la 1 nilimbembeleza mdingi anipeleke.
Mimi mdingi alikuwa anatukataza kwenda shule, tulibahatika kusoma kwa msaada wa ndugu wengine kwa wao kutupeleka na support zingine hadi tukafanikiwa kufika chuo
 
Madaktari wengi wanapendekeza iwe kwaanzia miaka 14...

#kipindi changu nishakisahau, kilichobakia kichwani ni taswira ya ule msitu tu....
 
Mama aliniambia nilitailiwa nikiwa na siku 20 na hali ya huku chini ni inch 6.5 urefu na upana inch 5. Sometimes najisemeaga kama ningetailiwa mkubwa ningekuwa Mandingo na huwa naitaka sana kuwa na hongo la haja. Ila hata hii fresh tu maisha yanaenda.

Kuhusu kibamia: mimi sio mtaalamu sana ila nachoamini kibamia ni kurithi. Ni kama unavyoona watu wengine ni warefu na wengine wafupi. Ukifatilia utakuta mzazi mmoja au shangazi au mjomba ni mrefu/mfupi.

Kama kuna sababu za kisayansi kuhusu kutailiwa na mapena na ukibamia ni vyema mkatutoa tongotongo.

bro we na mi ndio tulio tahiriwa wengine wanekatwa maana wanaongea ongea tu awaji na point na uthibitisho.,ni bora kumtahiri mapema kwanza inamjengea mtoto kua na kujiamini apati wasiwasi mbele ya wenzake maana kipind hiki watoto wanakatwa mapema mno

ila akichelewa ni vizuri zaidi maana kama atapata 6.5 akiwahi kutahiriwa akichelewa kutahiriwa atapata iyo 6.5 sema aliyechelewa kutahiriwa atakua na mwonekano mkubwa wa mashine ila wakidinda wote sawa
 
Back
Top Bottom