Tatigha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 1,957
- 2,027
Maana utapata taabu sanaMikono ya sweta usiingie nayo tu Secondary
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana utapata taabu sanaMikono ya sweta usiingie nayo tu Secondary
Yaap mkuu nlipata tabu sana ,halafu tulitahiriwa porini yani tukiishi kijeshi kinyama kufundishwa ukakamavu na ushupavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo uliugulia maumivu ya mtama na ya kukatwa bila ganzi
Zp izo mkuu zitaje na we waonaje ni safi au unatamani utahiriwe mtoto mchangaTukae pembeni kweli..kuna zile jamii inabidi hadi usubirie wenzako wakue ndo mpelekwe jando..
Maumivu yake sasa nadhani kama ingekuwa kuna. Kurudia mi nisingerudia aisee bora nikae na mkono wa sweta wanguKuna raha yake ya kutahiriwa ukiwa mkubwa, ila adha yake pia ni hatari.
Kulala uchi huku mkuyenge ukipigwa na upepo usiku kucha ni noma aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
HahahahahNoma sana..mimi nakumbuka kuna bro mmoja nilivyopona akaniambia ni "muda sasa wa wewe kutafuta demu na umwambie kabisa kuwa kisu chako ni kipya"..naikumbuka sana hii
MmmhhKuna jamaa mmoja alikuwa mkubwa kipindi hicho mimi nilikuwa na miaka 9, alipopona kidonda baada ya kutahiriwa akaenda kutest kwenye papuchi ya ng'ombe kama mkuyenge umeimarika kwa kazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
akiwa na miaka kumiHabar za leo wana jukwaa baada ya salaam najielekeza moja kwa moja kweny mada huska nimeileta hii kwenu ili kutujuza wazazi wengi hatujui ni mda au umri gani sahihi kwa kumtahiri mtoto wa kiume pindi anapozaliwa maana kuna wengine wanasema kuwa akitahiriwa mapema sana akiwa mchanga kama ilivokuwa kwa Yesu siku 8 baada ya kuzaliwa kwamba anakuwa na uume mdogo eti anakuwa haujakomaa uume na hivo inapowahi kimtahiri unafanya uume wake usikue tena na kurefuka na kunenepa vizuri .
Pia kuna wengine wanasema kuwa kumtahiri akiwa mkubwa labda baada ya kubarehe anakuwa anapata maumivu makali na makubwa hivo mtoto anumia sana na kuona kama wazazi walikosea wangemutahiri mapema ili aepuke yale maumivu ya kutahiri ukubwani japo inaonekana kwamba ndo vizuri maana uume wake unakuwa umesha kua mkubwa na haitamuadhiri..
Sasa kutokana huuu mkanganyiko nikaona nilete huu uzi ili kuondoa hii sitofahamu iliyoko ktk jamii yetu ya kitanzania hoja na swala la. Msingi ni upi mda au umri sahihi wa kumtahiri mtoto ili aje awe maumbile mazuri aliyopewa au kukusudia na mwenyezi Mungu? "je ni miaka 1 hadi 5 au 5 hadi 10 au 10 hadi 15 au 15 hadi 20???? Ili aje awe mwnaume rijari na kamili awe na nguvu za kiume na uume mbashara.
Wewe mwenyewe ulitahiriwa ukiwa na miaka mingap je mwanao alikuwa na umri gani ..
Mimi nilieleta hii mada nmetahirwa nikiwa mkubwa wa miaka 16
Karibuni sana watalaam mtuelimiishe.. Samahan staweka picha hapa aisee.
Aha kumbe sasa kutahiriwa ukiwa mkubwa kuna faida ya kuwa na mkunyenge mkubwa .Kanda ya ziwa tulio wengi tunatahiriwa tukiwa wakubwa ndo maana huwa tuna mashine kubwa kubwa na zenye uwezo wa kutosha!
Kwa iyo we hukumshirikisha hta baba ako au akaka ako?Chief nakumbuka mimi nimetahiriwa nina miaka 17 nikiwa nimesimama, hosp ya jeshi Kiabakari, nilivyorudi nyumbani sikusema asubuhi nikaamkia shamba niliweza kulima japo walinigundua kwa baadaye sana baada ya kuniona natembea upande upande.
Ok ndo kitaalam. Zaid au ni matakwa yako tuHii ipo poa sana. Wangu ntatahiri akifikisha 7
Hahaha kwani nyie kwenu mlikua hamna tabia ya kuwacheka wale ambao hawajatahiriwa mkiwa mtoni kuoga?? Au we niwa mjin maana hii ipo zaid vijjnTena haiwezi kutokea ukatahiriwa kabla ya kaka yako au mtahiriwe pamoja. Lazima mkubwa atangulie kwanza.
Na mie ni kwenye kundi hilo hilo la miaka 14, tena baada ya kulazimisha sana.
Hahaha kwani nyie kwenu mlikua hamna tabia ya kuwacheka wale ambao hawajatahiriwa mkiwa mtoni kuoga?? Au we niwa mjin maana hii ipo zaid vijjn
Nilienda kimyakimya koz ningezuiwa mpaka nifikishe 18.Kwa iyo we hukumshirikisha hta baba ako au akaka ako?
Kwa sababu kipindi hicho hapakuwepo na ganzi walitumia miti shamba.Biblia inasema siku ya 8...