Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo uliugulia maumivu ya mtama na ya kukatwa bila ganzi
Yaap mkuu nlipata tabu sana ,halafu tulitahiriwa porini yani tukiishi kijeshi kinyama kufundishwa ukakamavu na ushupavu
 
Kuna raha yake ya kutahiriwa ukiwa mkubwa, ila adha yake pia ni hatari.

Kulala uchi huku mkuyenge ukipigwa na upepo usiku kucha ni noma aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Maumivu yake sasa nadhani kama ingekuwa kuna. Kurudia mi nisingerudia aisee bora nikae na mkono wa sweta wangu
 
Noma sana..mimi nakumbuka kuna bro mmoja nilivyopona akaniambia ni "muda sasa wa wewe kutafuta demu na umwambie kabisa kuwa kisu chako ni kipya"..naikumbuka sana hii
Hahahahah
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa mkubwa kipindi hicho mimi nilikuwa na miaka 9, alipopona kidonda baada ya kutahiriwa akaenda kutest kwenye papuchi ya ng'ombe kama mkuyenge umeimarika kwa kazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mmmhh
 
akiwa na miaka kumi
 
Kanda ya ziwa tulio wengi tunatahiriwa tukiwa wakubwa ndo maana huwa tuna mashine kubwa kubwa na zenye uwezo wa kutosha!
Aha kumbe sasa kutahiriwa ukiwa mkubwa kuna faida ya kuwa na mkunyenge mkubwa .
 
Chief nakumbuka mimi nimetahiriwa nina miaka 17 nikiwa nimesimama, hosp ya jeshi Kiabakari, nilivyorudi nyumbani sikusema asubuhi nikaamkia shamba niliweza kulima japo walinigundua kwa baadaye sana baada ya kuniona natembea upande upande.
Kwa iyo we hukumshirikisha hta baba ako au akaka ako?
 
Tena haiwezi kutokea ukatahiriwa kabla ya kaka yako au mtahiriwe pamoja. Lazima mkubwa atangulie kwanza.

Na mie ni kwenye kundi hilo hilo la miaka 14, tena baada ya kulazimisha sana.
Hahaha kwani nyie kwenu mlikua hamna tabia ya kuwacheka wale ambao hawajatahiriwa mkiwa mtoni kuoga?? Au we niwa mjin maana hii ipo zaid vijjn
 
Mimi nili kata Nikiw a na miaka 7

Hapo kwenye iyo haya ya pili wenda kukawa na ukwel kidogo mana kwa inapo kuwa mkubwa misur mingi nazan inakuwa imekomaa pia Ata uponaji wake ni wakuchelewa

Lakin Mimi sijuh kwa nn wakinipeleka jando nikiwa ba umri huo sijuh kama ni sahih sure walikosea. Na katika ichunguz usio rasmi weng naona Walio kata mapema wapo wa dogo sana Kuna kitu kama icho kuwa na maumbile ya kawaida but sio wote na sijuh Sababu MI Ipi
 
Hahaha kwani nyie kwenu mlikua hamna tabia ya kuwacheka wale ambao hawajatahiriwa mkiwa mtoni kuoga?? Au we niwa mjin maana hii ipo zaid vijjn


Mkubwa mie wa kijijini ndani ndani nanjilinji namtumbo. Unachekwaje wakati utaratibu uko wazi. Tohara baada ya balehe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…