Mkuu Maalim
Senior Member
- May 4, 2017
- 101
- 92
Povu la OMO,,Wewe unavyohisi mimi ni nani?
Na je, hata nikiwa mwanamke, au mwanaume wew itakusaidia nini?
Wakati mwingine kama huna cha kuchangia ni bora ukaoge, ukalale.
Wengine hatukufunzwa kutapika hata kama hatuonekani, jiheshimu ili uheshimiwe. Asante!
Mi mwenyewe nilikua nalo nikasubiri tu mwingine aulize [emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kipnd naandika ili kuchangia hii mada nilitegemea kukutana na na swali kama hili lako.
Huyo ni mdogo wangu, nmeishi naye na amekua mikononi mwangu, tumeishi chumba kimoja mpaka tunaachana akiwa 15. Sasa hili swali lako.........! Maan hata wazee husema, "kwenye msafara........"
Haya bhana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi mwenyewe nilikua nalo nikasubiri tu mwingine aulize [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sijawaka kaka, nimeongea kwa upole tu.Mkuu mbona umewaka Sana kwa kitendo cha mwannchi mmoja kutaka kujua jinsia yako.
KWANI ungemjibu ME au KE ingekuwaje?
anyway...na mie naomba kujua jinsia yako tafadhali. ...kwa manufaa ya jukwaa tambulisha jinsia yako.
mimi nilifaniwa nikiwa na miaka kumi na nne na bado nina kibamia 😡uwiii una ushahidi my dear? mtu kasema hata siku 7 ni sawa?
Ngoja wajeHivi.......na umri recommended wa kukeketa ni upi...
Msaada nimeshindwa kuanzisha thread yangu
Ulipimaje?Kibamia na kuwahi kutahiriwa hakuna ukweli/uhusiano.
Mimi wa kwangu ana mwaka 1.9 nshagorogosha kila kitu, alhamisi ijayo atatahiriwa tukijaaliwa uhai.
Na mdogo wangu alitahiriwa akiwa na miezi 8, na hana kibamia.
Nina wasi wasi na combination uliyosoma high schoolMiaka 18 ni mizuri ya kutahiri(kukata govi) ,Mkono swetu a.k.a Asante Monica.
Hapo mishipa ya damu itakuwa imejijenga na mwanaume ataweza kumkuna mwanamke kwenye G-Spot lakini mwanaume yeyote aliyewahishwa kutahiriwa hawezi mkuna vizuri mwanamke:Wengi wanaishia kupizi lakini unakuta mwanamke bado hajakojoa
aiseee polemimi nilifaniwa nikiwa na miaka kumi na nne na bado nina kibamia 😡
asante 🙂aiseee pole
Unaona ni sahihi na ndilo pendekezo kwa madatkal au kwa kuwa ulikuwa hujui tupe maelezo kidogo hapoMimi mwanangu nilimtairi akiwa na miezi 4