Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

kwetu watoto wa kiume wanatahiriwa wakiwa na weeks tangu kuzaliwa...akitoka 40 kashapona kidonda..

habari za uume utakua mfupi au mrefu...sijui kwa kwli
 
Siku nane baada ya kuzaliwa na kuendelea na hakuna ushaidi wa kisayansi kuwa mtu akitailiwa mapema anapata madhara zilizobakia ni mbwembwe za watu.
 
kwetu watoto wa kiume wanatahiriwa wakiwa na weeks tangu kuzaliwa...akitoka 40 kashapona kidonda..

habari za uume utakua mfupi au mrefu...sijui kwa kwli
Haya buana
 
Mi nakumbuka nimetahiriwa nikiwa darasa la kwanza miaka 8,nlipelekwa porini na wenzangu ilipofika zamu yangu nlipigwa boooonge la mtama nikaenda chini ile kuinuka mkono wa sweta ushakatwa tena bila ganzi dadeki,ila nna kibamia asee ikiwa imelala ,ikisimama inaumuka ka mkate wa supa lofu, so suala la kusema eti ukiwahi unakua na dololo ndogo ni maneno tu ya wabongo kila MTU kaumbwa na dushelele lake
 
Mi nakumbuka nimetahiriwa nikiwa darasa la kwanza miaka 8,nlipelekwa porini na wenzangu ilipofika zamu yangu nlipigwa boooonge la mtama nikaenda chini ile kuinuka mkono wa sweta ushakatwa tena bila ganzi dadeki,ila nna kibamia asee ikiwa imelala ,ikisimama inaumuka ka mkate wa supa lofu, so suala la kusema eti ukiwahi unakua na dololo ndogo ni maneno tu ya wabongo kila MTU kaumbwa na dushelele lake
Asante kumbe ni stor tu kama za kijiweni
 
Back
Top Bottom